Msaada
Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
- Solved
Naomba msaada kwa anayejua zilipo ofisi za NHIF ilala Ofisi za Bima ya Afya ziko wapi ni sehemu gani zinapatikana?
Naomba kujua Ofisi za NHIF Bima ya Afya Kinondoni ziko wapi ni sehemu gani zinapatikana?
Naomba kujua Ofisi za NHIF Mbezi ziko wapi huwa zipo sehemu gani hasa.
Ofisi za NECTA zipo sehemu gani? Ziko wapi
Naomba kujua Ofisi za NECTA zipo sehemu gani ziko wapi hasa za makao makuu Dar Es Salaam
Jinsi ya Kuwa Freelancer Tanzania 2025-2026
Jinsi ya Kuwa Freelancer Tanzania Freelancing imekuwa njia maarufu ya kupata mapato Tanzania, hasa kwa vijana wanaotafuta uhuru wa kifedha na kubadilika katika kazi zao. Freelancer ni mtu...
Naomba kujua mfano muda wa usaili kabla ya vituo kupangwa ulikua ni saa moja kamili ila baada ya kupangwa vituo vya usaili,kwenye vituo muda unaonesha usaili ni saa tano,je tunafuata muda gani apo?
Nauliza kuhusu kituo cha usaili kwa walioomba nafasi za Assistant vocational teacher-VETA(ELECTRICAL INSTALLATION) usaili ni tarehe 25 mwezi wa 4 tumeambiwa ni Mbeya tuliopo mbeya lakini kituo...