Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

  • Solved
Naomba msaada kwa anayejua zilipo ofisi za NHIF ilala Ofisi za Bima ya Afya ziko wapi ni sehemu gani zinapatikana?
Answers
1
Views
771
Naomba kujua Ofisi za NHIF Bima ya Afya Kinondoni ziko wapi ni sehemu gani zinapatikana?
Answers
2
Views
880
Naomba kujua Ofisi za NHIF Mbezi ziko wapi huwa zipo sehemu gani hasa.
Answers
1
Views
486
Naomba kujua Ofisi za NECTA zipo sehemu gani ziko wapi hasa za makao makuu Dar Es Salaam
Answers
1
Views
849
Jinsi ya Kuwa Freelancer Tanzania Freelancing imekuwa njia maarufu ya kupata mapato Tanzania, hasa kwa vijana wanaotafuta uhuru wa kifedha na kubadilika katika kazi zao. Freelancer ni mtu...
Answers
0
Views
2K
Naomba kujua mfano muda wa usaili kabla ya vituo kupangwa ulikua ni saa moja kamili ila baada ya kupangwa vituo vya usaili,kwenye vituo muda unaonesha usaili ni saa tano,je tunafuata muda gani apo?
Answers
1
Views
281
Kwa upande wa mkoa wa Njombe usahili unafanyika sehemu gani
Answers
1
Views
384
Nauliza kuhusu kituo cha usaili kwa walioomba nafasi za Assistant vocational teacher-VETA(ELECTRICAL INSTALLATION) usaili ni tarehe 25 mwezi wa 4 tumeambiwa ni Mbeya tuliopo mbeya lakini kituo...
Answers
1
Views
373
Msaada pls,maswali ya assistant vocational teacher
Answers
2
Views
308
Naomba kujua maswali yanayotoka kwa kada ya veta tutor Mathematics
Answers
1
Views
298
Back
Top Bottom