Msaada
Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Nauliza kuhusu kituo cha usaili kwa walioomba nafasi za Assistant vocational teacher-VETA(ELECTRICAL INSTALLATION) usaili ni tarehe 25 mwezi wa 4 tumeambiwa ni Mbeya tuliopo mbeya lakini kituo...
Kwamba ajila mwaka huu zinaweza kuwepo za ualimu au azitakuwepo?
Habari samahanini wadau yoyote. anaweza kunisaidia kutoa cheti kimoja cha level ya juu ajira portal msaada plz
Naomba kujua mshahara wa assistant vocational teacher...eg(plumbing and pipe fitting)
He'll napenda kuliza unayapataje matangazo ya kazi kwa mfumo wa barua. Kwa sababu mara nyingi inatumwa link lakini ukibonyeza haiji moja kwa moja barua isipokuwa yanakuja malekezo tu ambayo...
Mimi nimemaliza chuo nipo mtaani lakini nataka akutafuta kazi ya kufanya. Nina GPA ya 3.4 lakin kwenyee cheti wamendikia low