Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Habari zenu Naulizia fursa za kufundisha masomo ya physics and mathematics private schools baada ya kuhitimu degree July
Answers
0
Views
139
physics and mathematics t
How to generate voucher
Answers
0
Views
136
WANANCHI, kwa mtu yeyote mwenye nazo naomba utusaidie sampl Question za Data management officer II Especially kwa upande DATA ANALYST AND DATA MANAGER.
Answers
0
Views
303
Daudi Nzagu
Nielekeze jinsi ya kutuma maombi ya kazi ta udeleva katika abacus pharmacy
Answers
0
Views
136
Deluxe
Naomba msaada maswali ya Afisa Hesabu II ya utumishi
Answers
0
Views
659
Answers
0
Views
285
gloridorice Albert Safari
Msaada kila nikitaka kuverfy email zimamoto inakoma
Answers
0
Views
237
Karim imonje
Naombeni mnisaidie kila nikijaribu ku- signup kwenye mfumo wa zimamoto nikiweka namba ya NIDA kwaajili ya verificmfumo unanirudisha kwenye login menu
Answers
2
Views
332
Yotram Ditram
Je hii barua yangu ipo sahihi kwenye upande wa receiver's address na vipengele vengine, kama kuna kitu hakipo sawa chochote tuelekezane, nazungumzia kwenye ili tangazo la UAE, DUBAI, MSAADA PLZ
Answers
2
Views
417
GODFREY MABULA MALEBO
Hello, samahani kwa mfano kama nida ilikuwa na makosa ukajisajiri ajiraportal, ukafika muda ukailekebisha sasa unataka uweke nida mpya kwenye ajira portal unaweza kufanyaje ili ubadilishe nida
Answers
1
Views
235
Back
Top Bottom