Msaada
Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Nimemaliza chuo nipo mtaani,nataka akutafuta kazi lakin Nina GPA ya 3.4 wameniandikia ni lower second class .je hapo Kuna uwezekano wa mm kuomba kazi na nikapata.
Habari za asubuhi kiongoz. Samahani! Naomba unisaidie kujua ni wapi VOCATIONAL TUTOR II (COMMUNICATION SKILLS) aliyepo mkoa wa Geita (Current addres) atafanya usaili wa KUANDIKA. NATANGULIZA...
- Solved
Habari za mchana? Samahani et usaili wa ajira za polisi unaweza kuanza mwezi gani?
Naomba sample ya maswali ya interview ya Printer II mechanical NECTA.
Habari za majukum wadau. Natanguliza shukran kwa yeyote atakayefanikisha upatikanaji wa maswali ya usahili ya TBS nafasi ya Civil Technician II. Japo muundo wa maswali yao yanakuaje Mungu...
Naomba maswali ya interview ya wildlife officer II maananajiandaa na usaili
Hellow everybody, sorry jaman hivi ni kwa namna gani naweza tengeneza CV yangu after finishing university? Nachohitaji jamani sitaki yale masuala sijui umemaliza chuo unaenda mara stationary ndiyo...