Msaada
Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Samahn habar mfano nmepangiwa dar kutokana na anwani yangu niliondika lakini Kwa mfano Kwa wakati huu nipo Arusha je naweza kufanyia Arusha ?
Ni mara yangu ya kwanza kufanya usaili wa PSRS, kwenye vituo vya usaili wameandika sehemu kadhaa nataka kujua Kwa upande wa DAR-ES- SALAAM ni sehemu gani usaili unafanyika
Msaada kwa yeyote mwenye nayo maswali ya TAA, mechanical Engineer II
Habari, hii deedpoll kwa upande wa ajira TRA ni kwa wote hata kwa wale wenye kesi kama ya (Nida, birth certificate) - Glory John Kiha na (IV,VI,Chuo na transcript) - Asha .J. Kiha..??
Naomba kupata msaada wa kujua Kwa wale ambao tumeitwa kwenye usaili na hapo mwanzo tuliomba tukiwa maeneo tofaut, vip Kwa Sasa tunaweza fanyia usaili karibu na vituo vilivyotajwa katika mazingira...
Msaada swali la how do you ensure the accuracy and timeliness of financial records?