Msaada
Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Kwamba ajila mwaka huu zinaweza kuwepo za ualimu au azitakuwepo?
Habari samahanini wadau yoyote. anaweza kunisaidia kutoa cheti kimoja cha level ya juu ajira portal msaada plz
Naomba kujua mshahara wa assistant vocational teacher...eg(plumbing and pipe fitting)
He'll napenda kuliza unayapataje matangazo ya kazi kwa mfumo wa barua. Kwa sababu mara nyingi inatumwa link lakini ukibonyeza haiji moja kwa moja barua isipokuwa yanakuja malekezo tu ambayo...
Mimi nimemaliza chuo nipo mtaani lakini nataka akutafuta kazi ya kufanya. Nina GPA ya 3.4 lakin kwenyee cheti wamendikia low
Nimemaliza chuo nipo mtaani,nataka akutafuta kazi lakin Nina GPA ya 3.4 wameniandikia ni lower second class .je hapo Kuna uwezekano wa mm kuomba kazi na nikapata.
Habari za asubuhi kiongoz. Samahani! Naomba unisaidie kujua ni wapi VOCATIONAL TUTOR II (COMMUNICATION SKILLS) aliyepo mkoa wa Geita (Current addres) atafanya usaili wa KUANDIKA. NATANGULIZA...
- Solved
Habari za mchana? Samahani et usaili wa ajira za polisi unaweza kuanza mwezi gani?