Msaada
Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
NECTA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2025 SHULE ZOTE BONYEZA HAPA
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Ninaomba unisaidie link ya maswali au notsi za data management officer (data analyst and data engineer) pamoja na risk officer kwa ajili ya interview ya TRA
Samahani, Naomba kuuliza kama kuna maswali ya interview TRA kada ya Technician II ( Electrical)
Je unaweza ona jina kwenye list ya waliochaguliwa na bado ukawa hujapokea email ya barua ya namba ya mtihan??
Msaada naweza pata notes za Customs nko kwenye usaili wa custom assistant II
1.Nimeweka elimu mfumo wa ajira wa police lakini education status inaandika pending.. je ni kwangu tu au ndo mfumo upo hivyo kwahiyo niendelee tu kutuma maombi..? 2. ukitumia search mode, mfumo...
Nili upload kinakosa cheti cha chuo àmbapo kimoja niliweka chenye kuhuri wa mwanasheria na kingine ambacho nimekosea hakina muhuri wa mwanasheria,sasa nimejaribu kufutaa nimeshindwa kwà mda mrefu...