Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
NECTA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2025 SHULE ZOTE BONYEZA HAPA
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Ninaomba unisaidie link ya maswali au notsi za data management officer (data analyst and data engineer) pamoja na risk officer kwa ajili ya interview ya TRA
Answers
1
Views
654
mbona fani ya lishe sijaiona ko takuwa sina sifa ya kuomba?
Answers
1
Views
294
Yani hujapokea email ya TRA lakin jinaa limetokaa?
Answers
1
Views
452
Samahani, Naomba kuuliza kama kuna maswali ya interview TRA kada ya Technician II ( Electrical)
Answers
1
Views
389
Majibu yake ya Hii calculation please tupate mwelekeo
Answers
1
Views
3K
Je unaweza ona jina kwenye list ya waliochaguliwa na bado ukawa hujapokea email ya barua ya namba ya mtihan??
Answers
1
Views
314
Habari hivi kuna ambae hajapokea email ya TRA mpka sahvi?
Answers
2
Views
296
leona
Msaada naweza pata notes za Customs nko kwenye usaili wa custom assistant II
Answers
1
Views
321
1.Nimeweka elimu mfumo wa ajira wa police lakini education status inaandika pending.. je ni kwangu tu au ndo mfumo upo hivyo kwahiyo niendelee tu kutuma maombi..? 2. ukitumia search mode, mfumo...
Answers
1
Views
373
Nili upload kinakosa cheti cha chuo àmbapo kimoja niliweka chenye kuhuri wa mwanasheria na kingine ambacho nimekosea hakina muhuri wa mwanasheria,sasa nimejaribu kufutaa nimeshindwa kwà mda mrefu...
Answers
1
Views
359
Back
Top Bottom