Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Orodha ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano au Jinsi ya kuangalia selection za form six selection 2026 Tamisemi
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la Form Six Selection 2026 hapa

HIVI HUWA MNAPOST KAZI ZA WATU WALIOSOMEA FANI ZA UMEME KUTOKA VYUO VYA VYETA KWA NGAZI ZA LEVEL TWO AU THREE? NA KAMA HUWA MNAPOST JE HUWA MNAPOST ZA MASHIRIKA YA SERIKALI PIA AU BINAFSI TU? Kwa...
Answers
1
Views
311
Naomba kuuliza kuhusu swala la majina kwenye vyeti vyote natumia AMINA SAID ALLY lakini kwenye cheti cha kuzaliwa jina la baba ni SAID MAKATA ALLY mimi natumia jina la baba na la ukoo je hii...
Answers
1
Views
349
Naomba kuuliza jinsi ya ku attach vyeti na una attach kwa mpangilio upi na una attach kwenye cv au application letter?
Answers
1
Views
456
Habari I za wkati huu, Mimi ni researcher and consultant, naweza kuandika research proposal, business proposal, report, research papers n.k natafuta Kama Kuna sehemu au kampuni ya kazi hizi...
Answers
0
Views
355
Preacher
DTB Bank Tanzania imetangaza Nafasi za kazi kawa:- (Direct Sales Agent - Personal Loan)- agenti wa mauzo ya moja kwa moja - mkopo wa kibinafsi Awe na Diploma au Degree Tuma maombi kabla ya tarehe...
Answers
0
Views
1K
Tintmon
MBEYA CEMENT Imetanagza Nafasi za Ajira kwa:- 1.(LEARNING AND DEVELOPMENT COORDINAT) Mratibu wa mafunzo na maendeleo 2.(MAINTENANCE INSPECTOR) Mtaalamu wa ukaguzi na matengenezo Awe na Degree au...
Answers
0
Views
1K
Tintmon
Jamani samahani hivi online interview utumishi zinahitaji mtu ambaye anajua computer sana au hata kama unajua normal tu Ani sio sana mana nimeitwa interview utumishi usaili ni online sijawah...
Answers
4
Views
750
bathon
Kwan ukujiunga na mwananchi hakun charge
Answers
2
Views
353
Yassin
Back
Top Bottom