Habari..naomba kuuliza nimecreate email kwenye mfumo wa zimamoto lakini email hiyo inaonekana haipo kwahiyo nashindwa kuingia na kuverify link .. nifanyaje???
Je hii barua yangu ipo sahihi kwenye upande wa receiver's address na vipengele vengine, kama kuna kitu hakipo sawa chochote tuelekezane, nazungumzia kwenye ili tangazo la UAE, DUBAI, MSAADA PLZ
Hello, samahani kwa mfano kama nida ilikuwa na makosa ukajisajiri ajiraportal, ukafika muda ukailekebisha sasa unataka uweke nida mpya kwenye ajira portal unaweza kufanyaje ili ubadilishe nida
JE MAOMBI KAMA HAYA YA KIPENGELE CHA NON SKILLED WORKERS YANATUMWAJE IKIWA HAUNA UJUZI WOWOTE ULE CV YAKO INAKUAJE NA UNAAMBATANISHA NINI NA NINI KATIKA ILI TANGAZO KWA YULE AMBAE HANA UJUZI...
HIVI HUWA MNAPOST KAZI ZA WATU WALIOSOMEA FANI ZA UMEME KUTOKA VYUO VYA VYETA KWA NGAZI ZA LEVEL TWO AU THREE? NA KAMA HUWA MNAPOST JE HUWA MNAPOST ZA MASHIRIKA YA SERIKALI PIA AU BINAFSI TU? Kwa...
Naomba kuuliza kuhusu swala la majina kwenye vyeti vyote natumia AMINA SAID ALLY lakini kwenye cheti cha kuzaliwa jina la baba ni SAID MAKATA ALLY mimi natumia jina la baba na la ukoo je hii...
Habari I za wkati huu, Mimi ni researcher and consultant, naweza kuandika research proposal, business proposal, report, research papers n.k natafuta Kama Kuna sehemu au kampuni ya kazi hizi...
DTB Bank Tanzania imetangaza Nafasi za kazi kawa:- (Direct Sales Agent - Personal Loan)- agenti wa mauzo ya moja kwa moja - mkopo wa kibinafsi Awe na Diploma au Degree Tuma maombi kabla ya tarehe...