Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Nimepata changamoto ya kukamilisha usajili wa profile yangu ambapo nimefika mahali ya kumaliza naweka district blbut wananiambia district is required nifanye nini 0675894971
Answers
1
Views
246
Mushi
Nahitajia msaada wa maswali katika usahili wa nafasi ya HRO
Answers
0
Views
425
Hotti Ramadhan
my name is nasma kaluona the aims of this application is job and employed
Answers
0
Views
227
nasma kaluona
Mwenye maswali au notes za community development na social welfare naomba anisaidie jamani
Answers
0
Views
794
catee
Naomba Msaada Community development officer II, maswali ya written yanayoulizwa ni yapi
Answers
0
Views
1K
Matanga
Msaada wa maswal ya interview ya land officer ii na notes zitakazonisaidia kujiandaa na interview nashkuru
Answers
0
Views
586
Biusi
Tusaidieni Jaman interview questions za trade officer II ATA Nini na nn tupitie🥹
Answers
0
Views
454
marrah
Naombeni nisaidie maswali ya Secretary katika usahili wa OSHA
Answers
0
Views
303
Leylakwame
Msaada maswali ya land officer yanayoulizwa kwenye interviews za wizara ya Ardhi🙏
Answers
0
Views
2K
Jollene
Naomba kujua unavyojiunga na ajira portal pale kwenye education level vyeti vya kuambatanisha vinatakiwa kuwa original au copy ambazo zina muhuri wa mwanasheria?
Answers
4
Views
2K
Back
Top Bottom