Msaada
Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Nimepata changamoto ya kukamilisha usajili wa profile yangu ambapo nimefika mahali ya kumaliza naweka district blbut wananiambia district is required nifanye nini 0675894971
Nahitajia msaada wa maswali katika usahili wa nafasi ya HRO
my application Thanks
my name is nasma kaluona the aims of this application is job and employed
Mwenye maswali au notes za community development na social welfare naomba anisaidie jamani
Naomba Msaada Community development officer II, maswali ya written yanayoulizwa ni yapi
Msaada wa maswal ya interview ya land officer ii na notes zitakazonisaidia kujiandaa na interview nashkuru
Tusaidieni Jaman interview questions za trade officer II ATA Nini na nn tupitie🥹
Naombeni nisaidie maswali ya Secretary katika usahili wa OSHA
Msaada maswali ya land officer yanayoulizwa kwenye interviews za wizara ya Ardhi🙏