1.Nimeweka elimu mfumo wa ajira wa police lakini education status inaandika pending.. je ni kwangu tu au ndo mfumo upo hivyo kwahiyo niendelee tu kutuma maombi..? 2. ukitumia search mode, mfumo...
Nmechaguliwa kwenye usaili wa tra lkn sijapokea email yenye number ya mtahiniwa kama walivosema kwenye tangazo LA usaili Kuwa Kuna email wametuma Sasa nlikuwa naomba msaada kwa hilo
Wakuu, nauliza nawezaje pata barua kwaajili ya Usaili wa TRA!? Jina kwenye list nimeliona ila Sijapokea Barua yenye namba ya Usaili kwenye email yangu.
Wanabodi habari za majukum. Napenda kuomba msaada wa maswali yaliyopita ya usaili wa TRA katika kada ya Civil Technician II .Kama itapendeza email yangu ni [email protected] Natanguliza...
Nilimaliza chuo toka 2016 nilitafuta sana ajira sikufanikiwa nikakata tamaa sasa hiv nataka nianze tena kuapply.vip wadau naweza kupata nina degree ya Computer Engineering