Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

1.Nimeweka elimu mfumo wa ajira wa police lakini education status inaandika pending.. je ni kwangu tu au ndo mfumo upo hivyo kwahiyo niendelee tu kutuma maombi..? 2. ukitumia search mode, mfumo...
Answers
1
Views
119
Nili upload kinakosa cheti cha chuo àmbapo kimoja niliweka chenye kuhuri wa mwanasheria na kingine ambacho nimekosea hakina muhuri wa mwanasheria,sasa nimejaribu kufutaa nimeshindwa kwà mda mrefu...
Answers
1
Views
156
Nmechaguliwa kwenye usaili wa tra lkn sijapokea email yenye number ya mtahiniwa kama walivosema kwenye tangazo LA usaili Kuwa Kuna email wametuma Sasa nlikuwa naomba msaada kwa hilo
Answers
2
Views
86
kisambale
Mbona ham post ajira za kada ya records management watunza kumbu kumbu
Answers
1
Views
72
Samahani, hivi kwa haraka haraka maswali ya written interview ya tra yanaweza kuwa ya kuchagua au kujieleza?
Answers
1
Views
125
Swali langu ni TRA walisema Kuna barua tutatumiwa kupitia email tutazipataje maana tunapaswa kwenda nazo kwenye usahili
Answers
1
Views
79
Naomba maswali ya interview kwny data analyst, na ninatakiwa kujua vitu vipi kabla vinavyohusiana na data analyst
Answers
0
Views
160
ANNA ALEX
Wakuu, nauliza nawezaje pata barua kwaajili ya Usaili wa TRA!? Jina kwenye list nimeliona ila Sijapokea Barua yenye namba ya Usaili kwenye email yangu.
Answers
0
Views
80
Tonny1
Wanabodi habari za majukum. Napenda kuomba msaada wa maswali yaliyopita ya usaili wa TRA katika kada ya Civil Technician II .Kama itapendeza email yangu ni [email protected] Natanguliza...
Answers
4
Views
836
Slim Ndago
Nilimaliza chuo toka 2016 nilitafuta sana ajira sikufanikiwa nikakata tamaa sasa hiv nataka nianze tena kuapply.vip wadau naweza kupata nina degree ya Computer Engineering
Answers
1
Views
94
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom