Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Naomba unitumie maswali ya record Management Assistant yanayoweza kutoka kwenye usaili TRA
Answers
1
Views
935
Naombeni msaada kwenye kujaza index no. Inakataaa natakiwa niandikaje
Answers
2
Views
374
Me naomba kuuliza kama kuna link za magroup ya Whatsapp KADA a assistant accountant ii. Hatuwezi pata link tuka join tupate mawili matatu wengine ndo mala ya kwanza kuitwa.
Answers
0
Views
244
Fidelis mwageni
Naomba kupata maswali na majibu ya calculation ya custom officer
Answers
2
Views
661
Ms nancie
naomba notes za custom assistant
Answers
0
Views
238
kizzy
Jamani mwenye maswali au notice za warden
Answers
0
Views
282
FRAVIUS
naomba kusaidiwa link za magroup ya Whatsapp kwa ajira ya TRA
Answers
0
Views
484
Fidelis mwageni
Ninaomba unisaidie link ya maswali au notsi za data management officer (data analyst and data engineer) pamoja na risk officer kwa ajili ya interview ya TRA
Answers
1
Views
318
Kwenye mfumo wa ajira za polisi sioni sehemu yakuweka affidavity yangu maana Jina la vyeti na lanida yapo tofauti naomba mwenye kujua namna yakutatua changamoto hii
Answers
1
Views
235
Naomba kujua maswali yanayo ulizwa kwenye kada ya udereva upande wa written interview
Answers
1
Views
498
Back
Top Bottom