Msaada
Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
NECTA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2025 SHULE ZOTE BONYEZA HAPA
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Jinsi ya Kuwa Freelancer Tanzania 2025-2026
Jinsi ya Kuwa Freelancer Tanzania Freelancing imekuwa njia maarufu ya kupata mapato Tanzania, hasa kwa vijana wanaotafuta uhuru wa kifedha na kubadilika katika kazi zao. Freelancer ni mtu...
Naomba kujua mfano muda wa usaili kabla ya vituo kupangwa ulikua ni saa moja kamili ila baada ya kupangwa vituo vya usaili,kwenye vituo muda unaonesha usaili ni saa tano,je tunafuata muda gani apo?
Nauliza kuhusu kituo cha usaili kwa walioomba nafasi za Assistant vocational teacher-VETA(ELECTRICAL INSTALLATION) usaili ni tarehe 25 mwezi wa 4 tumeambiwa ni Mbeya tuliopo mbeya lakini kituo...
Kwamba ajila mwaka huu zinaweza kuwepo za ualimu au azitakuwepo?
Habari samahanini wadau yoyote. anaweza kunisaidia kutoa cheti kimoja cha level ya juu ajira portal msaada plz