Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

MAswali ya written interview yapo kwenye format ipi
Answers
2
Views
286
Naomba kuuliza kama kuna group la afisa maendeleo ya jamii msaaidizi naomba niunganishwe naloo.
Answers
0
Views
171
moses123
Changamoto yangu nilikuwa nafanya maombi ya zimamoto lakini nikiweka namba ya muda ina andika "No record found.please check the NIN and try again,sasa na wakati muda yangu ipo sahihi hapo...
Answers
1
Views
245
CV kwa ajili ya students qmbaye ajamaliza bado masomo ndo finalist so how can prepare the CV pamoja na cover later on qpplication of different intenships and graduate program
Answers
3
Views
1K
Samahan nilikuwa naomba kuuliza kama kuna group la maendeleo ya jamii (community development) naomba kuaddiwa
Answers
4
Views
956
Answers
2
Views
271
Al-nassir
Nashindwa jinsi ya kuingia kutuma maombi ya kazi
Answers
1
Views
207
Kwa tulioomba ajira kwa mara ya kwanza za ualimu....tunaomba kupata group, tupate chance za kushare ideas kwa ajili ya usahili
Answers
0
Views
426
senior_
naomba kusaidiwa link za magroup ya Whatsapp kwa ajira ya TRA
Answers
2
Views
1K
Habari nauliza mbona me nikiifungua ajira portal inadai
Answers
1
Views
208
Back
Top Bottom