Msaada
Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Naomba kuuliza kama kuna group la afisa maendeleo ya jamii msaaidizi naomba niunganishwe naloo.
Changamoto yangu nilikuwa nafanya maombi ya zimamoto lakini nikiweka namba ya muda ina andika "No record found.please check the NIN and try again,sasa na wakati muda yangu ipo sahihi hapo...
CV kwa ajili ya students qmbaye ajamaliza bado masomo ndo finalist so how can prepare the CV pamoja na cover later on qpplication of different intenships and graduate program
Samahan nilikuwa naomba kuuliza kama kuna group la maendeleo ya jamii (community development) naomba kuaddiwa
Kwa tulioomba ajira kwa mara ya kwanza za ualimu....tunaomba kupata group, tupate chance za kushare ideas kwa ajili ya usahili
naomba kusaidiwa link za magroup ya Whatsapp kwa ajira ya TRA
Habari nauliza mbona me nikiifungua ajira portal inadai