Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Naomb msaada wa maswali ya usaili kwa msaidizi wa maendeleo ya jamii daraja la ii
Answers
3
Views
168
Naomba kuelezwa kuhusu entry levels za kaxi
Answers
1
Views
119
Naomba kujiunga group la utalii whatapp kama lipo
Answers
1
Views
219
  • Solved
Samahani kiongozi, Hivi ikiwa nilifanya usaili wa Tutorial Assistant nikafanikiwa kufika Oral lakini sikupata kazi hiyo. Je, jina langu linabaki katika kanzi data za utumishi?
Answers
2
Views
189
Makoye Jr
Naomba kujua matangazo ya kazi za ujenzi nanyamba tc niweze kuyafiķia
Answers
1
Views
110
sorry kwnye akaunt yangu y magereza nimekuta not shortlisted nikwamba sijachagulia??
Answers
2
Views
127
Kuna kazi ya certificate ya account, Shirika la mizinga walilolitoa lakini kila nikijaribu ku-apply inagoma na ikiwa nina vigezo vyote vya kuomba
Answers
1
Views
122
Naomba link ya watsap grp la ma clinical officers
Answers
1
Views
366
Status ya account yang inasema received ina takriban miez 2 au 1 hv tangia niombe hili lipo vip?
Answers
1
Views
105
Habari..naomba kuuliza nimecreate email kwenye mfumo wa zimamoto lakini email hiyo inaonekana haipo kwahiyo nashindwa kuingia na kuverify link .. nifanyaje???
Answers
2
Views
338
Back
Top Bottom