Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

mbona fani ya lishe sijaiona ko takuwa sina sifa ya kuomba?
Answers
1
Views
73
Yani hujapokea email ya TRA lakin jinaa limetokaa?
Answers
1
Views
184
Samahani, Naomba kuuliza kama kuna maswali ya interview TRA kada ya Technician II ( Electrical)
Answers
1
Views
156
Majibu yake ya Hii calculation please tupate mwelekeo
Answers
1
Views
3K
Je unaweza ona jina kwenye list ya waliochaguliwa na bado ukawa hujapokea email ya barua ya namba ya mtihan??
Answers
1
Views
129
Habari hivi kuna ambae hajapokea email ya TRA mpka sahvi?
Answers
2
Views
80
leona
Msaada naweza pata notes za Customs nko kwenye usaili wa custom assistant II
Answers
1
Views
195
1.Nimeweka elimu mfumo wa ajira wa police lakini education status inaandika pending.. je ni kwangu tu au ndo mfumo upo hivyo kwahiyo niendelee tu kutuma maombi..? 2. ukitumia search mode, mfumo...
Answers
1
Views
90
Nili upload kinakosa cheti cha chuo àmbapo kimoja niliweka chenye kuhuri wa mwanasheria na kingine ambacho nimekosea hakina muhuri wa mwanasheria,sasa nimejaribu kufutaa nimeshindwa kwà mda mrefu...
Answers
1
Views
130
Nmechaguliwa kwenye usaili wa tra lkn sijapokea email yenye number ya mtahiniwa kama walivosema kwenye tangazo LA usaili Kuwa Kuna email wametuma Sasa nlikuwa naomba msaada kwa hilo
Answers
2
Views
59
kisambale
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom