Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Ninaomba unisaidie link ya maswali au notsi za data management officer (data analyst and data engineer) pamoja na risk officer kwa ajili ya interview ya TRA
Answers
1
Views
566
mbona fani ya lishe sijaiona ko takuwa sina sifa ya kuomba?
Answers
1
Views
213
Yani hujapokea email ya TRA lakin jinaa limetokaa?
Answers
1
Views
326
Samahani, Naomba kuuliza kama kuna maswali ya interview TRA kada ya Technician II ( Electrical)
Answers
1
Views
291
Majibu yake ya Hii calculation please tupate mwelekeo
Answers
1
Views
3K
Je unaweza ona jina kwenye list ya waliochaguliwa na bado ukawa hujapokea email ya barua ya namba ya mtihan??
Answers
1
Views
240
Habari hivi kuna ambae hajapokea email ya TRA mpka sahvi?
Answers
2
Views
192
leona
Msaada naweza pata notes za Customs nko kwenye usaili wa custom assistant II
Answers
1
Views
272
1.Nimeweka elimu mfumo wa ajira wa police lakini education status inaandika pending.. je ni kwangu tu au ndo mfumo upo hivyo kwahiyo niendelee tu kutuma maombi..? 2. ukitumia search mode, mfumo...
Answers
1
Views
258
Nili upload kinakosa cheti cha chuo àmbapo kimoja niliweka chenye kuhuri wa mwanasheria na kingine ambacho nimekosea hakina muhuri wa mwanasheria,sasa nimejaribu kufutaa nimeshindwa kwà mda mrefu...
Answers
1
Views
266
Back
Top Bottom