Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Nilijiunga ajira portal mda kidogo ,lakini nilisahau email nilio tumia pamoja na password yake na Sasa nimejalibu kujiunga Tena ,lakin imeniandikia kwamba NID yangu imetumia tayari je ni fanye nn...
Answers
4
Views
162
Nataka kutuma maombi ya kazi ya police ila nashindwa kuingia kwenye mfumo
Answers
1
Views
126
Nataka unielekeze jinsi ya kutuma maombi ya kazi
Answers
1
Views
114
WITNESS NYANGAOH
What are HR tools and techniques
Answers
0
Views
70
Gifted Reuben
Kwa sisi wanafunzi wa bachelor hasa mwaka wa pili inakua ni shida sana kupata nafasi za field kwa wakati. Naomba kujua je ni sector ghani au mashirika ghani ambayo tunaweza pata nafasi hasa kwa...
Answers
0
Views
118
Therealruthanu
Habari zenu Naulizia fursa za kufundisha masomo ya physics and mathematics private schools baada ya kuhitimu degree July
Answers
0
Views
45
physics and mathematics t
How to generate voucher
Answers
0
Views
60
WANANCHI, kwa mtu yeyote mwenye nazo naomba utusaidie sampl Question za Data management officer II Especially kwa upande DATA ANALYST AND DATA MANAGER.
Answers
0
Views
145
Daudi Nzagu
Nielekeze jinsi ya kutuma maombi ya kazi ta udeleva katika abacus pharmacy
Answers
0
Views
39
Deluxe
Naomba msaada maswali ya Afisa Hesabu II ya utumishi
Answers
0
Views
344
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom