Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Naomba maswali ya interview kwny data analyst, na ninatakiwa kujua vitu vipi kabla vinavyohusiana na data analyst
Answers
0
Views
175
ANNA ALEX
Wakuu, nauliza nawezaje pata barua kwaajili ya Usaili wa TRA!? Jina kwenye list nimeliona ila Sijapokea Barua yenye namba ya Usaili kwenye email yangu.
Answers
0
Views
98
Tonny1
Wanabodi habari za majukum. Napenda kuomba msaada wa maswali yaliyopita ya usaili wa TRA katika kada ya Civil Technician II .Kama itapendeza email yangu ni [email protected] Natanguliza...
Answers
4
Views
947
Slim Ndago
Nilimaliza chuo toka 2016 nilitafuta sana ajira sikufanikiwa nikakata tamaa sasa hiv nataka nianze tena kuapply.vip wadau naweza kupata nina degree ya Computer Engineering
Answers
1
Views
142
Nilijiunga ajira portal mda kidogo ,lakini nilisahau email nilio tumia pamoja na password yake na Sasa nimejalibu kujiunga Tena ,lakin imeniandikia kwamba NID yangu imetumia tayari je ni fanye nn...
Answers
4
Views
251
Nataka kutuma maombi ya kazi ya police ila nashindwa kuingia kwenye mfumo
Answers
1
Views
162
Nataka unielekeze jinsi ya kutuma maombi ya kazi
Answers
1
Views
149
WITNESS NYANGAOH
What are HR tools and techniques
Answers
0
Views
86
Gifted Reuben
Kwa sisi wanafunzi wa bachelor hasa mwaka wa pili inakua ni shida sana kupata nafasi za field kwa wakati. Naomba kujua je ni sector ghani au mashirika ghani ambayo tunaweza pata nafasi hasa kwa...
Answers
0
Views
164
Therealruthanu
Habari zenu Naulizia fursa za kufundisha masomo ya physics and mathematics private schools baada ya kuhitimu degree July
Answers
0
Views
63
physics and mathematics t
Back
Top Bottom