Msaada
Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
NECTA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2025 SHULE ZOTE BONYEZA HAPA
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Hellow everybody, sorry jaman hivi ni kwa namna gani naweza tengeneza CV yangu after finishing university? Nachohitaji jamani sitaki yale masuala sijui umemaliza chuo unaenda mara stationary ndiyo...
Nahitaji kujua kuhusu interview itakayofanyika tarehe 23 April jumatano
Samahani, naomba kuangaliziwa jina langu angela alberto mwapinga ' hydrologists 'nafanyia interview mkoa gani, kwasababu kwenye list ya majina ya interview imeandikwa iringa adress yangu lakini...
Samahn habar mfano nmepangiwa dar kutokana na anwani yangu niliondika lakini Kwa mfano Kwa wakati huu nipo Arusha je naweza kufanyia Arusha ?
Ni mara yangu ya kwanza kufanya usaili wa PSRS, kwenye vituo vya usaili wameandika sehemu kadhaa nataka kujua Kwa upande wa DAR-ES- SALAAM ni sehemu gani usaili unafanyika
Msaada kwa yeyote mwenye nayo maswali ya TAA, mechanical Engineer II
Habari, hii deedpoll kwa upande wa ajira TRA ni kwa wote hata kwa wale wenye kesi kama ya (Nida, birth certificate) - Glory John Kiha na (IV,VI,Chuo na transcript) - Asha .J. Kiha..??