Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Naomba link ya watsap grp la ma clinical officers
Answers
1
Views
504
Status ya account yang inasema received ina takriban miez 2 au 1 hv tangia niombe hili lipo vip?
Answers
1
Views
163
Habari..naomba kuuliza nimecreate email kwenye mfumo wa zimamoto lakini email hiyo inaonekana haipo kwahiyo nashindwa kuingia na kuverify link .. nifanyaje???
Answers
2
Views
425
Majina ya dodoma mjini mbn siyaoni walioitwa kweny mafunzo
Answers
0
Views
244
abdalla
Naomba msaada wadau Kuna hii inaitwa Walmart Ina nanunua USDT na kupata profit Kuna mwenye uelewa nayo naomba msaada hapo ni kabla ujaweka pesa yoyote
Answers
2
Views
506
Sorry Majina ya usaili wa wasimamizi wa uchaguzi 2025 kibaha mjini unayo maana yapo ya kibaha vijijini tu
Answers
3
Views
808
Buchambi
Answers
0
Views
2K
claud Eufrasi
Tofauti kati ya uchaguzi mkuu nauchaguzi wa serikali za mitaa?
Answers
0
Views
484
Kayongo
Back
Top Bottom