Msaada
Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Naomba msaada aliyeweza registration No kwa UDSM
Nilikuwa naomba msaada wa ajira na jinsi yakupata ajira . Nime maliza level two mwaka jana, nasasa nimemaliza mwaka jana elimu ya veta naijitolea TANESCO MKOA WA KIGAMBONI.
Naomba msaada kwa wenye maswali ya usaili wa mahojiano.
Naomba msaada wa maswali kwa sisi tulioitwa katika usaili wa mahojiano mwalimu daraja la lll A
Habari,naomba ku uliza kuna group kuhusu usaili ya kazi za Bunge? Awu maswali?
Human resource interviews question especially for judicial?
Nauliza kama wameshajibiwa barua zao walizotuma. Naona siku zimeenda na barua yao Indonesia tarehe 24 November ndio waajiliwe