Msaada
Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Nataka kubadilisha diet yangu ili niwe na moyo bora. Je, ni vyakula gani mnashauri kuepuka au kula kila siku?”
Habarin za mda huu,naomba kujiunga na group la wahasibu,au kma kuna mahali wana fundisha accoumt software,msaada
Naomba kuuliza namna ya kujiunga na ma group ya Whatsapp ya ajira. Mimi nimesoma bachelor's degree in adult education and community development. Asanteni 🙏
Mbona mfumo unatulazimisha nitumie namba ya form four alafu form four nina 4 ya 26 wakati form six nina division one naomba msaada nitumie matokeo yangu ya form six
Naomba msaada aliyeweza registration No kwa UDSM
Nilikuwa naomba msaada wa ajira na jinsi yakupata ajira . Nime maliza level two mwaka jana, nasasa nimemaliza mwaka jana elimu ya veta naijitolea TANESCO MKOA WA KIGAMBONI.