Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Nataka kubadilisha diet yangu ili niwe na moyo bora. Je, ni vyakula gani mnashauri kuepuka au kula kila siku?”
Answers
0
Views
79
Daniella_tz
Habarin za mda huu,naomba kujiunga na group la wahasibu,au kma kuna mahali wana fundisha accoumt software,msaada
Answers
1
Views
173
Answers
2
Views
133
Naomba kuuliza namna ya kujiunga na ma group ya Whatsapp ya ajira. Mimi nimesoma bachelor's degree in adult education and community development. Asanteni 🙏
Answers
0
Views
413
Almasi Lukindo
Mbona mfumo unatulazimisha nitumie namba ya form four alafu form four nina 4 ya 26 wakati form six nina division one naomba msaada nitumie matokeo yangu ya form six
Answers
1
Views
144
Mbona form six inagoma jaman
Answers
3
Views
178
Naomba msaada aliyeweza registration No kwa UDSM
Answers
0
Views
85
adelick
Matokea ya form two yametoka au bado
Answers
1
Views
170
ramadhankusi
Nilikuwa naomba msaada wa ajira na jinsi yakupata ajira . Nime maliza level two mwaka jana, nasasa nimemaliza mwaka jana elimu ya veta naijitolea TANESCO MKOA WA KIGAMBONI.
Answers
0
Views
106
Nicas ngomangoma
Naitaj nafasi ya kazi ya uwamiaji kwasbu naitaj
Answers
0
Views
93
mkombozi
Back
Top Bottom