Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Nawezaje kufungua account ya uhamiaji ili nitume maombi
Answers
2
Views
234
Nicas ngomangoma
Naomba kuungwa katika group la mambo ya usafirishaji.
Answers
1
Views
172
venant vedasto
Naomba kupata link ya kuomba ajira walizo tangaza jkt 2026 kwa urahisi
Answers
2
Views
195
Mashallah
Mbona mfumo unatulazimisha nitumie namba ya form four alafu form four nina 4 ya 26 wakati form six nina division one naomba msaada nitumie matokeo yangu ya form six
Answers
2
Views
179
Samahani, hivi kwa haraka haraka maswali ya written interview ya tra yanaweza kuwa ya kuchagua au kujieleza?
Answers
3
Views
438
Nasoma kozi ya shipping and port logistics management mwaka wa tatu,
Answers
1
Views
123
Naomben msaada wa maswali ya laboratory assistant
Answers
0
Views
63
Mwenye maswali ya mkaguzi daraja la II msaada ya NAOT
Answers
0
Views
107
Fortune
Naomba maswali ya mechanical technician kwenye written interview
Answers
0
Views
99
malama216
Unaweza kujiamulia mwenyewe kufanya mtihani wa usahili kwa kanda yoyote au lash!? Kwa mfano kipindi unafanya maombi ya kazi ulikua kanda nyingine na anuani ya ulipo ikawa ya kanda husika,ila baada...
Answers
2
Views
418
malama216
Back
Top Bottom