Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Samahn habar mfano nmepangiwa dar kutokana na anwani yangu niliondika lakini Kwa mfano Kwa wakati huu nipo Arusha je naweza kufanyia Arusha ?
Answers
1
Views
109
Ni mara yangu ya kwanza kufanya usaili wa PSRS, kwenye vituo vya usaili wameandika sehemu kadhaa nataka kujua Kwa upande wa DAR-ES- SALAAM ni sehemu gani usaili unafanyika
Answers
1
Views
142
Msaada kwa yeyote mwenye nayo maswali ya TAA, mechanical Engineer II
Answers
1
Views
95
Unaweza kujiamulia mwenyewe kufanya mtihani wa usahili kwa kanda yoyote au lash!? Kwa mfano kipindi unafanya maombi ya kazi ulikua kanda nyingine na anuani ya ulipo ikawa ya kanda husika,ila baada...
Answers
1
Views
100
Habari, hii deedpoll kwa upande wa ajira TRA ni kwa wote hata kwa wale wenye kesi kama ya (Nida, birth certificate) - Glory John Kiha na (IV,VI,Chuo na transcript) - Asha .J. Kiha..??
Answers
5
Views
294
Naomba kupata msaada wa kujua Kwa wale ambao tumeitwa kwenye usaili na hapo mwanzo tuliomba tukiwa maeneo tofaut, vip Kwa Sasa tunaweza fanyia usaili karibu na vituo vilivyotajwa katika mazingira...
Answers
1
Views
176
Je kam nimebadilisha current Address wiki moja iliyopita inakuaje
Answers
1
Views
81
Habar naomba kupata maswari ya risk officer ii nafasi ya tra niliyomba
Answers
1
Views
107
How to write good CV for jobs application?
Answers
1
Views
146
Msaada swali la how do you ensure the accuracy and timeliness of financial records?
Answers
1
Views
86
Back
Top Bottom