Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

habari,,naomba mwenye maswali ya interview ya tutorial assistant library and information management
Answers
0
Views
116
@teddyofficial
written interview question for OFFICER II (NETWORK) . Employer: Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGa)
Answers
1
Views
296
Habari mimi ni mtanzania mwenye umri wa miaka 44 nina degree ya sociology lakini pia nimesoma advance certifite ya driver (VIP )lakini kwenye mfumo wa portal kila nikiomba kazi inasema sina sifa...
Answers
0
Views
115
mbegushabani
Maswali ya usaili msaidizi wa ofisi tume ya utumishi wa mahakama Tanzania
Answers
0
Views
130
fridolin
kwanza kabisa nauliza hiyo shule ya taifa open school maana nataka niresit lakini nina majukumu nimemaliza form4 nimepata division 4 ya 28.
Answers
0
Views
194
Jackson Paul Maziku
Habari naomba kupata maswali ya usaili ya brac kwenye position ya branch accountant
Answers
2
Views
671
Monica1
Habari samahani nina shida ya maswali ya usaili ya direct sales staff at DCB Bank
Answers
0
Views
208
Naomba kuuliza. Je kuna majina yoyote yanetoka ( list mpya ya mafunzo ya mwezi wa sita 18- 24
Answers
0
Views
167
jeremia
Naomba pdf ya walioitwa interview ya afisa maendeleo ya jamii
Answers
0
Views
89
Lydia1234
Nimepata changamoto ya kukamilisha usajili wa profile yangu ambapo nimefika mahali ya kumaliza naweka district blbut wananiambia district is required nifanye nini 0675894971
Answers
1
Views
172
Mushi
Back
Top Bottom