Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Mimi nimemaliza chuo nipo mtaani lakini nataka akutafuta kazi ya kufanya. Nina GPA ya 3.4 lakin kwenyee cheti wamendikia low
Answers
3
Views
2K
Nimemaliza chuo nipo mtaani,nataka akutafuta kazi lakin Nina GPA ya 3.4 wameniandikia ni lower second class .je hapo Kuna uwezekano wa mm kuomba kazi na nikapata.
Answers
0
Views
320
##kassim
Habari za asubuhi kiongoz. Samahani! Naomba unisaidie kujua ni wapi VOCATIONAL TUTOR II (COMMUNICATION SKILLS) aliyepo mkoa wa Geita (Current addres) atafanya usaili wa KUANDIKA. NATANGULIZA...
Answers
1
Views
122
  • Solved
Habari za mchana? Samahani et usaili wa ajira za polisi unaweza kuanza mwezi gani?
Answers
1
Views
70
Naomba sample ya maswali ya interview ya Printer II mechanical NECTA.
Answers
1
Views
80
Kindly assist on the hints and NOTEs for CUSTOMER SERVICE likely questions for TANZANIA AIPORTS AUTHORITY?
Answers
1
Views
750
Emmanuel Mwakatabale
Habari za majukum wadau. Natanguliza shukran kwa yeyote atakayefanikisha upatikanaji wa maswali ya usahili ya TBS nafasi ya Civil Technician II. Japo muundo wa maswali yao yanakuaje Mungu...
Answers
2
Views
262
Slim Ndago
Explain main problem facing soil resources in Tanzania
Answers
0
Views
377
Abuu yassir
Naomba maswali ya interview ya wildlife officer II maananajiandaa na usaili
Answers
1
Views
194
CV kwa ajili ya students qmbaye ajamaliza bado masomo ndo finalist so how can prepare the CV pamoja na cover later on qpplication of different intenships and graduate program
Answers
1
Views
754
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom