Msaada
Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Hello guys, Naenda kufanya interview at the first time bro. Online interview inakua almost na dakika ngap? Just tips on how Online interview is carried out
Habari . Naomba mwenye maswali ya usaili wa afisa mazingira grade II anisaidie.
Msaada wenye Kujua Hints ama Maswali ya Cooperative Officer grade two anisaidie
Habari, naomba kuungwa kwenye group la statistician II au maswali ya usaili
habari bro nimejaribu kufanya application ya sheria kiganjani ila nimekwama sehemu sijui shida nini
Habari, samahani naomba uniulizie kwa watu walio apply for TCB graduate program kama wamepata feedback na pia NMB kwa walioomba highland zone kama wamepigiwa kwa ajili ya interview
Habar jamn Mm kwenye cheti cha kuzaliwa ni PETER MAHEMBA MARWA ila kwenye vyeti ni PETER M. MARWA Naomba kujua hapa kuna shida?