Msaada
Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
habari,,naomba mwenye maswali ya interview ya tutorial assistant library and information management
written interview question for OFFICER II (NETWORK) . Employer: Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGa)
Habari mimi ni mtanzania mwenye umri wa miaka 44 nina degree ya sociology lakini pia nimesoma advance certifite ya driver (VIP )lakini kwenye mfumo wa portal kila nikiomba kazi inasema sina sifa...
kwanza kabisa nauliza hiyo shule ya taifa open school maana nataka niresit lakini nina majukumu nimemaliza form4 nimepata division 4 ya 28.
Habari naomba kupata maswali ya usaili ya brac kwenye position ya branch accountant
Habari samahani nina shida ya maswali ya usaili ya direct sales staff at DCB Bank
Naomba kuuliza. Je kuna majina yoyote yanetoka ( list mpya ya mafunzo ya mwezi wa sita 18- 24
Nimepata changamoto ya kukamilisha usajili wa profile yangu ambapo nimefika mahali ya kumaliza naweka district blbut wananiambia district is required nifanye nini 0675894971