Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Nahitaji kujua kuhusu interview itakayofanyika tarehe 23 April jumatano
Answers
1
Views
98
Nauliza kuhusu kaz za ufundi bomba viwandani na mgodini
Answers
1
Views
46
Samahani, naomba kuangaliziwa jina langu angela alberto mwapinga ' hydrologists 'nafanyia interview mkoa gani, kwasababu kwenye list ya majina ya interview imeandikwa iringa adress yangu lakini...
Answers
3
Views
87
Samahn habar mfano nmepangiwa dar kutokana na anwani yangu niliondika lakini Kwa mfano Kwa wakati huu nipo Arusha je naweza kufanyia Arusha ?
Answers
1
Views
33
Ni mara yangu ya kwanza kufanya usaili wa PSRS, kwenye vituo vya usaili wameandika sehemu kadhaa nataka kujua Kwa upande wa DAR-ES- SALAAM ni sehemu gani usaili unafanyika
Answers
1
Views
50
Msaada kwa yeyote mwenye nayo maswali ya TAA, mechanical Engineer II
Answers
1
Views
47
Unaweza kujiamulia mwenyewe kufanya mtihani wa usahili kwa kanda yoyote au lash!? Kwa mfano kipindi unafanya maombi ya kazi ulikua kanda nyingine na anuani ya ulipo ikawa ya kanda husika,ila baada...
Answers
1
Views
44
Habari, hii deedpoll kwa upande wa ajira TRA ni kwa wote hata kwa wale wenye kesi kama ya (Nida, birth certificate) - Glory John Kiha na (IV,VI,Chuo na transcript) - Asha .J. Kiha..??
Answers
5
Views
197
Naomba kupata msaada wa kujua Kwa wale ambao tumeitwa kwenye usaili na hapo mwanzo tuliomba tukiwa maeneo tofaut, vip Kwa Sasa tunaweza fanyia usaili karibu na vituo vilivyotajwa katika mazingira...
Answers
1
Views
133
Je kam nimebadilisha current Address wiki moja iliyopita inakuaje
Answers
1
Views
35
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom