Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Nahitaji msaada wa formats ya written interview TBS
Answers
2
Views
247
emma1
Msaada wa maswali ya risk officer
Answers
5
Views
395
Hellow everybody, sorry jaman hivi ni kwa namna gani naweza tengeneza CV yangu after finishing university? Nachohitaji jamani sitaki yale masuala sijui umemaliza chuo unaenda mara stationary ndiyo...
Answers
1
Views
3K
Nahitaji kujua kuhusu interview itakayofanyika tarehe 23 April jumatano
Answers
1
Views
123
Nauliza kuhusu kaz za ufundi bomba viwandani na mgodini
Answers
1
Views
67
Samahani, naomba kuangaliziwa jina langu angela alberto mwapinga ' hydrologists 'nafanyia interview mkoa gani, kwasababu kwenye list ya majina ya interview imeandikwa iringa adress yangu lakini...
Answers
3
Views
115
Samahn habar mfano nmepangiwa dar kutokana na anwani yangu niliondika lakini Kwa mfano Kwa wakati huu nipo Arusha je naweza kufanyia Arusha ?
Answers
1
Views
62
Ni mara yangu ya kwanza kufanya usaili wa PSRS, kwenye vituo vya usaili wameandika sehemu kadhaa nataka kujua Kwa upande wa DAR-ES- SALAAM ni sehemu gani usaili unafanyika
Answers
1
Views
92
Msaada kwa yeyote mwenye nayo maswali ya TAA, mechanical Engineer II
Answers
1
Views
69
Unaweza kujiamulia mwenyewe kufanya mtihani wa usahili kwa kanda yoyote au lash!? Kwa mfano kipindi unafanya maombi ya kazi ulikua kanda nyingine na anuani ya ulipo ikawa ya kanda husika,ila baada...
Answers
1
Views
64
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom