Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Naomba kujua Ofisi za NHIF Mbezi ziko wapi huwa zipo sehemu gani hasa.
Answers
1
Views
97
Naomba kujua Ofisi za NECTA zipo sehemu gani ziko wapi hasa za makao makuu Dar Es Salaam
Answers
1
Views
261
Jinsi ya Kuwa Freelancer Tanzania Freelancing imekuwa njia maarufu ya kupata mapato Tanzania, hasa kwa vijana wanaotafuta uhuru wa kifedha na kubadilika katika kazi zao. Freelancer ni mtu...
Answers
0
Views
247
Naomba kujua mfano muda wa usaili kabla ya vituo kupangwa ulikua ni saa moja kamili ila baada ya kupangwa vituo vya usaili,kwenye vituo muda unaonesha usaili ni saa tano,je tunafuata muda gani apo?
Answers
1
Views
112
Kwa upande wa mkoa wa Njombe usahili unafanyika sehemu gani
Answers
1
Views
130
Nauliza kuhusu kituo cha usaili kwa walioomba nafasi za Assistant vocational teacher-VETA(ELECTRICAL INSTALLATION) usaili ni tarehe 25 mwezi wa 4 tumeambiwa ni Mbeya tuliopo mbeya lakini kituo...
Answers
1
Views
153
Msaada pls,maswali ya assistant vocational teacher
Answers
2
Views
121
Naomba kujua maswali yanayotoka kwa kada ya veta tutor Mathematics
Answers
1
Views
109
Account yangu ya ajira portal upande wa my application data zangu zmefutika
Answers
1
Views
116
Kwamba ajila mwaka huu zinaweza kuwepo za ualimu au azitakuwepo?
Answers
1
Views
397
Back
Top Bottom