Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Naomba sample ya barua ya kuomba ajira JWTZ
Answers
1
Views
33
Nauliza jaman watu wa trade officer oral tumepangiwa kesho interview 16/4/26 lakini mpka saivi usiku hawajaweka venue na wala hawajasema kama wamegairi Ila tu kuna muda ndo upo. Kwaio ni...
Answers
1
Views
16
Habari! Naomba kupewa ABC juu ya aina za topics za kujiandaa na interview ya Tutor II (Chemistry) chuo cha maji..asanteni
Answers
1
Views
14
Nikisearch maswali ya Trade officer kwenye group la usaili siyapati,sijui shida nini!?
Answers
5
Views
360
Hello naomba maswali ambayo anayoweza kuulizwa katibu wa afya kwa oral msaada
Answers
0
Views
9
Naombeni munisaidie mfumo wa pccb kwa ambaye kashajaza make mie ninajaza taarifa alafu wakati wa kusevu inagoma shida nn apo
Answers
1
Views
41
Bot washarudisha majibu ya kuitwa kwenye interviews
Answers
3
Views
33
Mimi ninashida kwenye ajira portal wakati najaza taarifa zangu kwenye academic qualifications imejirudia mara 8 kutokana na mtandao na hamna sehem ya kudelete ili ibaki moja nifanye nini maana...
Answers
4
Views
42
Answers
1
Views
38
Hellw, nilikua naomba nipate Ile link ya internship ya kampuni ya Crude oil iliyotangazwa majuzi maana Whatsapp yangu ilipata shida nikaikosa hiyo link
Answers
0
Views
27
Cadet eng Aisha
Back
Top Bottom