Msaada
Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Nauliza jaman watu wa trade officer oral tumepangiwa kesho interview 16/4/26 lakini mpka saivi usiku hawajaweka venue na wala hawajasema kama wamegairi Ila tu kuna muda ndo upo. Kwaio ni...
Habari! Naomba kupewa ABC juu ya aina za topics za kujiandaa na interview ya Tutor II (Chemistry) chuo cha maji..asanteni
Nikisearch maswali ya Trade officer kwenye group la usaili siyapati,sijui shida nini!?
Hello naomba maswali ambayo anayoweza kuulizwa katibu wa afya kwa oral msaada
Naombeni munisaidie mfumo wa pccb kwa ambaye kashajaza make mie ninajaza taarifa alafu wakati wa kusevu inagoma shida nn apo
Mimi ninashida kwenye ajira portal wakati najaza taarifa zangu kwenye academic qualifications imejirudia mara 8 kutokana na mtandao na hamna sehem ya kudelete ili ibaki moja nifanye nini maana...
Hellw, nilikua naomba nipate Ile link ya internship ya kampuni ya Crude oil iliyotangazwa majuzi maana Whatsapp yangu ilipata shida nikaikosa hiyo link