Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Mwenye maswali au notes za community development na social welfare naomba anisaidie jamani
Answers
0
Views
261
catee
Naomba Msaada Community development officer II, maswali ya written yanayoulizwa ni yapi
Answers
0
Views
332
Matanga
Msaada wa maswal ya interview ya land officer ii na notes zitakazonisaidia kujiandaa na interview nashkuru
Answers
0
Views
379
Biusi
Tusaidieni Jaman interview questions za trade officer II ATA Nini na nn tupitie🥹
Answers
0
Views
203
marrah
Naombeni nisaidie maswali ya Secretary katika usahili wa OSHA
Answers
0
Views
154
Leylakwame
Msaada maswali ya land officer yanayoulizwa kwenye interviews za wizara ya Ardhi🙏
Answers
0
Views
1K
Jollene
Habari wananchi forum, mwenye material ya cooperate (ushirika) naomba tushare please... natanguliza shukran
Answers
0
Views
927
Naomba kujua unavyojiunga na ajira portal pale kwenye education level vyeti vya kuambatanisha vinatakiwa kuwa original au copy ambazo zina muhuri wa mwanasheria?
Answers
4
Views
1K
Naomba msaada wa maswali ya oral interview Agricultural engineer II - Civil
Answers
0
Views
493
jaynico
Nina swali apa; kwa wale ambao walishafanya interview oral za account huwa wana uliza maswali yapi? au kama kuna mtu Ana baadh I ya maswali ambayo hapo kabla maana mimi ndio mara yangu ya kwaza ivi
Answers
1
Views
214
Back
Top Bottom