Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Msaada maswali ya land officer yanayoulizwa kwenye interviews za wizara ya Ardhi🙏
Answers
0
Views
1K
Jollene
Habari wananchi forum, mwenye material ya cooperate (ushirika) naomba tushare please... natanguliza shukran
Answers
0
Views
844
Naomba kujua unavyojiunga na ajira portal pale kwenye education level vyeti vya kuambatanisha vinatakiwa kuwa original au copy ambazo zina muhuri wa mwanasheria?
Answers
4
Views
576
Naomba msaada wa maswali ya oral interview Agricultural engineer II - Civil
Answers
0
Views
441
jaynico
Nina swali apa; kwa wale ambao walishafanya interview oral za account huwa wana uliza maswali yapi? au kama kuna mtu Ana baadh I ya maswali ambayo hapo kabla maana mimi ndio mara yangu ya kwaza ivi
Answers
1
Views
172
Jamani samahanini nilikuwa nauliza Ajira ambazo wamesema watatoa probably wanaweza kuzitangaza lini jmn msaada
Answers
1
Views
46
Kila nikijalibu kujisajili naambiwa account inactive Sasa naomba msaada nifanyaje
Answers
1
Views
66
Je una chochote ambacho kama ushauri au kutupa idea kuelekea kwenye usahili huu
Answers
0
Views
44
KIMWERI MWERONDO
Wakuu kuna anaefahamu namna ya kuandika au kama una sample ya kuandika barua ya malalamiko tra naomba
Answers
0
Views
211
Naomba msaada kwa anayejua zilipo ofisi za NHIF Kigoma Ofisi za Bima ya Afya ziko wapi ni sehemu gani zinapatikana?
Answers
1
Views
115
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom