Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Naomba msaada wa maswali ya oral interview Agricultural engineer II - Civil
Answers
0
Views
401
jaynico
Nina swali apa; kwa wale ambao walishafanya interview oral za account huwa wana uliza maswali yapi? au kama kuna mtu Ana baadh I ya maswali ambayo hapo kabla maana mimi ndio mara yangu ya kwaza ivi
Answers
1
Views
139
Jamani samahanini nilikuwa nauliza Ajira ambazo wamesema watatoa probably wanaweza kuzitangaza lini jmn msaada
Answers
1
Views
26
Kila nikijalibu kujisajili naambiwa account inactive Sasa naomba msaada nifanyaje
Answers
1
Views
30
Je una chochote ambacho kama ushauri au kutupa idea kuelekea kwenye usahili huu
Answers
0
Views
29
KIMWERI MWERONDO
Wakuu kuna anaefahamu namna ya kuandika au kama una sample ya kuandika barua ya malalamiko tra naomba
Answers
0
Views
190
Naomba msaada kwa anayejua zilipo ofisi za NHIF Kigoma Ofisi za Bima ya Afya ziko wapi ni sehemu gani zinapatikana?
Answers
1
Views
65
Naomba msaada kwa anayejua zilipo ofisi za NHIF Singida Ofisi za Bima ya Afya ziko wapi ni sehemu gani zinapatikana?
Answers
1
Views
44
Naomba msaada kwa anayejua zilipo ofisi za NHIF Kagera Ofisi za Bima ya Afya ziko wapi ni sehemu gani zinapatikana?
Answers
1
Views
35
Naomba msaada kwa anayejua zilipo ofisi za NHIF Ruvuma Ofisi za Bima ya Afya ziko wapi ni sehemu gani zinapatikana?
Answers
1
Views
28
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom