Habari wanajukwaa, Naomba msaada wa ufafanuzi au uzoefu kwa yeyote aliyewahi kupitia utaratibu wa kuomba nafasi ya internship kwenye Taasisi X ( ya Serikali) kupitia TAESA. Niliwasiliana na...
Habari mimi ni mtanzania mwenye umri wa miaka 44 nina degree ya sociology lakini pia nimesoma advance certifite ya driver (VIP )lakini kwenye mfumo wa portal kila nikiomba kazi inasema sina sifa...