Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Naomba unisaidie maswali ya usaili wa records management ( utunzaji wa kumbukumbu)
Answers
0
Views
28
Naomba msaada kwa wenye maswali ya usaili wa mahojiano.
Answers
0
Views
61
Naomba msaada wa maswali kwa sisi tulioitwa katika usaili wa mahojiano mwalimu daraja la lll A
Answers
0
Views
46
Habari,naomba ku uliza kuna group kuhusu usaili ya kazi za Bunge? Awu maswali?
Answers
0
Views
108
Bella
Human resource interviews question especially for judicial?
Answers
0
Views
82
Alistides yolonimo
Nauliza kama wameshajibiwa barua zao walizotuma. Naona siku zimeenda na barua yao Indonesia tarehe 24 November ndio waajiliwe
Answers
2
Views
116
EVALINE
MAswali ya written interview yapo kwenye format ipi
Answers
2
Views
109
Naomba kuuliza kama kuna group la afisa maendeleo ya jamii msaaidizi naomba niunganishwe naloo.
Answers
0
Views
62
moses123
Changamoto yangu nilikuwa nafanya maombi ya zimamoto lakini nikiweka namba ya muda ina andika "No record found.please check the NIN and try again,sasa na wakati muda yangu ipo sahihi hapo...
Answers
1
Views
107
CV kwa ajili ya students qmbaye ajamaliza bado masomo ndo finalist so how can prepare the CV pamoja na cover later on qpplication of different intenships and graduate program
Answers
3
Views
1K
Back
Top Bottom