Msaada
Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Wakuu, naombeni msaada wa jinsi ya kubadili au kuongeza academic qualifications kwenye ajira portal.
habari naomba kuuliza walioenda usahili wakala wa huduma za misitu kada yoyote ile nasikia wakisema miaka 25 au 28 ukizidi ata wiki moja unatolewa ni kweli
Wadau Habari za jioni Samahani naomba msaada kuuliza kwa wadau ambao tayari wameshatuma application za TAKUKURU kama ni lazima kujaza au ku upload vyeti vya form four na six ikiwa tayari ume...
Msaada wenye Kujua Hints ama Maswali ya Cooperative Officer grade two anisaidie
Naomba ufafanuzi niki upload CV kwenye mfumo wa PCCB inaandika invalid input labda kwa mtu aliyeweza kufanikiwa plz size ya cv ni 448KB
Naomba msaada kwa Oral interview matokeo huwa yanatoka baada ya mda Gani hasa au kwa msaada zaidi ya interview zilizofanyika tarehe 14/4/2026 Environment Officers🙏🙏
Habari za usiku Naomba kuuliza hv EWURA CCC walitoa tangazo la kazi mwezi uliosha deadline ilikuwa tar 30/03/2026 je wameshaitwa watu kufanya interview ? maan kila nikijaribu kufanya cross...
Wakuu habarini . Hivi maombi ya jwtz unapeleka physically au unatuma kwa njia ya posta.? Nimepata mkanganyiko
Habari,, msaada kwenye "tell us about yourself" kujielezea kwa kiswahili fasaha na in a professional way