Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Wakuu, naombeni msaada wa jinsi ya kubadili au kuongeza academic qualifications kwenye ajira portal.
Answers
1
Views
106
habari naomba kuuliza walioenda usahili wakala wa huduma za misitu kada yoyote ile nasikia wakisema miaka 25 au 28 ukizidi ata wiki moja unatolewa ni kweli
Answers
1
Views
102
Wadau Habari za jioni Samahani naomba msaada kuuliza kwa wadau ambao tayari wameshatuma application za TAKUKURU kama ni lazima kujaza au ku upload vyeti vya form four na six ikiwa tayari ume...
Answers
1
Views
125
Ajira za takukuru walimu hazituhusu?
Answers
1
Views
115
Msaada wenye Kujua Hints ama Maswali ya Cooperative Officer grade two anisaidie
Answers
2
Views
655
William Peter Haule
Naomba ufafanuzi niki upload CV kwenye mfumo wa PCCB inaandika invalid input labda kwa mtu aliyeweza kufanikiwa plz size ya cv ni 448KB
Answers
3
Views
213
Naomba msaada kwa Oral interview matokeo huwa yanatoka baada ya mda Gani hasa au kwa msaada zaidi ya interview zilizofanyika tarehe 14/4/2026 Environment Officers🙏🙏
Answers
1
Views
264
Habari za usiku Naomba kuuliza hv EWURA CCC walitoa tangazo la kazi mwezi uliosha deadline ilikuwa tar 30/03/2026 je wameshaitwa watu kufanya interview ? maan kila nikijaribu kufanya cross...
Answers
2
Views
147
atosi mohammed
Wakuu habarini . Hivi maombi ya jwtz unapeleka physically au unatuma kwa njia ya posta.? Nimepata mkanganyiko
Answers
0
Views
113
Salari m augustino
Habari,, msaada kwenye "tell us about yourself" kujielezea kwa kiswahili fasaha na in a professional way
Answers
1
Views
101
Back
Top Bottom