Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Habari wanajukwaa, Naomba msaada wa ufafanuzi au uzoefu kwa yeyote aliyewahi kupitia utaratibu wa kuomba nafasi ya internship kwenye Taasisi X ( ya Serikali) kupitia TAESA. Niliwasiliana na...
Answers
0
Views
60
JB2025
habari,,naomba mwenye maswali ya interview ya tutorial assistant library and information management
Answers
0
Views
81
@teddyofficial
written interview question for OFFICER II (NETWORK) . Employer: Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGa)
Answers
1
Views
187
Habari mimi ni mtanzania mwenye umri wa miaka 44 nina degree ya sociology lakini pia nimesoma advance certifite ya driver (VIP )lakini kwenye mfumo wa portal kila nikiomba kazi inasema sina sifa...
Answers
0
Views
70
mbegushabani
Maswali ya usaili msaidizi wa ofisi tume ya utumishi wa mahakama Tanzania
Answers
0
Views
84
fridolin
kwanza kabisa nauliza hiyo shule ya taifa open school maana nataka niresit lakini nina majukumu nimemaliza form4 nimepata division 4 ya 28.
Answers
0
Views
156
Jackson Paul Maziku
Habari naomba kupata maswali ya usaili ya brac kwenye position ya branch accountant
Answers
2
Views
604
Monica1
Habari samahani nina shida ya maswali ya usaili ya direct sales staff at DCB Bank
Answers
0
Views
176
Naomba kuuliza. Je kuna majina yoyote yanetoka ( list mpya ya mafunzo ya mwezi wa sita 18- 24
Answers
0
Views
145
jeremia
Naomba pdf ya walioitwa interview ya afisa maendeleo ya jamii
Answers
0
Views
67
Lydia1234
Back
Top Bottom