Msaada
Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Habari, samahani naomba msaada wa maswali ya written interview kada ya community development officer
Habari wananchi forum, mwenye material ya cooperate (ushirika) naomba tushare please... natanguliza shukran
Kak me nasoma chuo Cha mipango ya maendeleo vijijin Dodoma nasoma koz ya development administration and management je Niki graduate naweza nikaajiliwa serikalin kam nan au NGOs
Habari , sorry mkuu veta unaweza kusoma baadhi ya kozi za ufundi kama uliishia darasa la saba au hauna cheti kabsaaHabari bro, sorry mkuu veta unaweza
habari creed naomba kuuliza kunawatu walifanya interview ya uhamiaji je matokeo yalishatoka?
Habari, nimechaguliwa online interview community development officer grade ii lakini mpaka sasa sijapata location ya hiyo interview na tarehe ni 11
Msaada naombeni mnijuze kidogo unapoambiwa utume cover letter kwenye email na hawajakupa details za adress kwenye hilo tangazo huwa inakuwaje
Habari. Tafadhali, kama kuna yoyote anaefahamu au amesikia kuhusu nafasi za kazi ( za kawaida au skilled) Dodoma mjini anaweza ku share nikafanya follow up. Natanguliza shukrani.
Kaka habari ya kazi samahani mimi nilikuwa nashida moja, nimeitwa kwenye interview ya warehouse director kampuni ya backbone nimejaribu kuifuatilia hiyo kampuni ipo misugusugu huko sasa details za...