Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Nimepata changamoto ya kukamilisha usajili wa profile yangu ambapo nimefika mahali ya kumaliza naweka district blbut wananiambia district is required nifanye nini 0675894971
Answers
1
Views
140
Mushi
Nahitajia msaada wa maswali katika usahili wa nafasi ya HRO
Answers
0
Views
298
Hotti Ramadhan
my name is nasma kaluona the aims of this application is job and employed
Answers
0
Views
105
nasma kaluona
Msaada Jaman mwenye maswali wanauliza trade officer II
Answers
5
Views
2K
MUSASURA1
Mwenye maswali au notes za community development na social welfare naomba anisaidie jamani
Answers
0
Views
412
catee
Naomba Msaada Community development officer II, maswali ya written yanayoulizwa ni yapi
Answers
0
Views
507
Matanga
Msaada wa maswal ya interview ya land officer ii na notes zitakazonisaidia kujiandaa na interview nashkuru
Answers
0
Views
498
Biusi
Tusaidieni Jaman interview questions za trade officer II ATA Nini na nn tupitie🥹
Answers
0
Views
265
marrah
Naombeni nisaidie maswali ya Secretary katika usahili wa OSHA
Answers
0
Views
220
Leylakwame
Msaada maswali ya land officer yanayoulizwa kwenye interviews za wizara ya Ardhi🙏
Answers
0
Views
1K
Jollene
Back
Top Bottom