Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Samahani naomba kujua kama kuna uwezekano wa kupangiwa kituo kingine cha usaili kama mtu yupo mbali na kituo hicho mfano amepangiwa KAGERA alfu yeye yupo dar es salaam
Answers
0
Views
22
repinussotery
Msaada wa maswali ya risk officer
Answers
3
Views
250
MACKSON
Habari ...msaada wa maswali ya Public relations.asante
Answers
1
Views
132
Naomba unitumie maswali ya record Management Assistant yanayoweza kutoka kwenye usaili TRA
Answers
1
Views
139
Naombeni msaada kwenye kujaza index no. Inakataaa natakiwa niandikaje
Answers
2
Views
83
Me naomba kuuliza kama kuna link za magroup ya Whatsapp KADA a assistant accountant ii. Hatuwezi pata link tuka join tupate mawili matatu wengine ndo mala ya kwanza kuitwa.
Answers
0
Views
73
Fidelis mwageni
Naomba kupata maswali na majibu ya calculation ya custom officer
Answers
2
Views
466
Ms nancie
naomba notes za custom assistant
Answers
0
Views
100
kizzy
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom