Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Naomba kuelezwa kuhusu entry levels za kaxi
Answers
1
Views
54
Naomba kujiunga group la utalii whatapp kama lipo
Answers
1
Views
83
  • Solved
Samahani kiongozi, Hivi ikiwa nilifanya usaili wa Tutorial Assistant nikafanikiwa kufika Oral lakini sikupata kazi hiyo. Je, jina langu linabaki katika kanzi data za utumishi?
Answers
2
Views
99
Makoye Jr
Naomba kujua matangazo ya kazi za ujenzi nanyamba tc niweze kuyafiķia
Answers
1
Views
50
sorry kwnye akaunt yangu y magereza nimekuta not shortlisted nikwamba sijachagulia??
Answers
2
Views
63
Kuna kazi ya certificate ya account, Shirika la mizinga walilolitoa lakini kila nikijaribu ku-apply inagoma na ikiwa nina vigezo vyote vya kuomba
Answers
1
Views
53
Naomba link ya watsap grp la ma clinical officers
Answers
1
Views
188
Status ya account yang inasema received ina takriban miez 2 au 1 hv tangia niombe hili lipo vip?
Answers
1
Views
57
Habari..naomba kuuliza nimecreate email kwenye mfumo wa zimamoto lakini email hiyo inaonekana haipo kwahiyo nashindwa kuingia na kuverify link .. nifanyaje???
Answers
2
Views
253
Back
Top Bottom