Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Habari wananchi forum, mwenye material ya cooperate (ushirika) naomba tushare please... natanguliza shukran
Answers
0
Views
1K
Naomba kujua unavyojiunga na ajira portal pale kwenye education level vyeti vya kuambatanisha vinatakiwa kuwa original au copy ambazo zina muhuri wa mwanasheria?
Answers
4
Views
2K
Naomba msaada wa maswali ya oral interview Agricultural engineer II - Civil
Answers
0
Views
631
jaynico
Nina swali apa; kwa wale ambao walishafanya interview oral za account huwa wana uliza maswali yapi? au kama kuna mtu Ana baadh I ya maswali ambayo hapo kabla maana mimi ndio mara yangu ya kwaza ivi
Answers
1
Views
307
Jamani samahanini nilikuwa nauliza Ajira ambazo wamesema watatoa probably wanaweza kuzitangaza lini jmn msaada
Answers
1
Views
135
Kila nikijalibu kujisajili naambiwa account inactive Sasa naomba msaada nifanyaje
Answers
1
Views
224
Je una chochote ambacho kama ushauri au kutupa idea kuelekea kwenye usahili huu
Answers
0
Views
131
KIMWERI MWERONDO
Wakuu kuna anaefahamu namna ya kuandika au kama una sample ya kuandika barua ya malalamiko tra naomba
Answers
0
Views
305
Naomba msaada kwa anayejua zilipo ofisi za NHIF Kigoma Ofisi za Bima ya Afya ziko wapi ni sehemu gani zinapatikana?
Answers
1
Views
283
Naomba msaada kwa anayejua zilipo ofisi za NHIF Singida Ofisi za Bima ya Afya ziko wapi ni sehemu gani zinapatikana?
Answers
1
Views
193
Back
Top Bottom