Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
NECTA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2025 SHULE ZOTE BONYEZA HAPA
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Nauliza kama wameshajibiwa barua zao walizotuma. Naona siku zimeenda na barua yao Indonesia tarehe 24 November ndio waajiliwe
Answers
2
Views
162
EVALINE
MAswali ya written interview yapo kwenye format ipi
Answers
2
Views
151
Naomba kuuliza kama kuna group la afisa maendeleo ya jamii msaaidizi naomba niunganishwe naloo.
Answers
0
Views
78
moses123
Changamoto yangu nilikuwa nafanya maombi ya zimamoto lakini nikiweka namba ya muda ina andika "No record found.please check the NIN and try again,sasa na wakati muda yangu ipo sahihi hapo...
Answers
1
Views
148
CV kwa ajili ya students qmbaye ajamaliza bado masomo ndo finalist so how can prepare the CV pamoja na cover later on qpplication of different intenships and graduate program
Answers
3
Views
1K
Samahan nilikuwa naomba kuuliza kama kuna group la maendeleo ya jamii (community development) naomba kuaddiwa
Answers
4
Views
380
Answers
2
Views
168
Al-nassir
Nashindwa jinsi ya kuingia kutuma maombi ya kazi
Answers
1
Views
131
Kwa tulioomba ajira kwa mara ya kwanza za ualimu....tunaomba kupata group, tupate chance za kushare ideas kwa ajili ya usahili
Answers
0
Views
211
senior_
naomba kusaidiwa link za magroup ya Whatsapp kwa ajira ya TRA
Answers
2
Views
816
Back
Top Bottom