Msaada
Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Naombeni munisaidie mfumo wa pccb kwa ambaye kashajaza make mie ninajaza taarifa alafu wakati wa kusevu inagoma shida nn apo
Mimi ninashida kwenye ajira portal wakati najaza taarifa zangu kwenye academic qualifications imejirudia mara 8 kutokana na mtandao na hamna sehem ya kudelete ili ibaki moja nifanye nini maana...
Hellw, nilikua naomba nipate Ile link ya internship ya kampuni ya Crude oil iliyotangazwa majuzi maana Whatsapp yangu ilipata shida nikaikosa hiyo link
Habari, samahani naomba msaada wa maswali ya written interview kada ya community development officer
Habari wananchi forum, mwenye material ya cooperate (ushirika) naomba tushare please... natanguliza shukran
Kak me nasoma chuo Cha mipango ya maendeleo vijijin Dodoma nasoma koz ya development administration and management je Niki graduate naweza nikaajiliwa serikalin kam nan au NGOs
Habari , sorry mkuu veta unaweza kusoma baadhi ya kozi za ufundi kama uliishia darasa la saba au hauna cheti kabsaaHabari bro, sorry mkuu veta unaweza