Naomba msaada: Niko na Qualifications za kazi usika ajira portal, lakini still inaniandikia "Application failed:- Check Specified Academic Qualifications Requirement for the Job Post" ni wapi nakuwa nakosea?
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an alternative browser.
You should upgrade or use an alternative browser.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
OK.
Kwanza kwenye nafasi husika wanataka wenye sifa gani?
2. Kwenye account yako ya ajira portal academic qualification umejazaje? sehemu ya program
Kwanza kwenye nafasi husika wanataka wenye sifa gani?
2. Kwenye account yako ya ajira portal academic qualification umejazaje? sehemu ya program
Naomba msaada: Niko na Qualifications za kazi usika ajira portal, lakini still inaniandikia "Application failed:- Check Specified Academic Qualifications Requirement for the Job Post" ni wapi nakuwa nakosea?
- Joined
- Nov 13, 2025
- Messages
- 5
Naomba msaada; nimejaza kila kitu na nacho apply wanataka cheti cha IV/VI na pia uwe na mafunzo ya military au polisi. But still inaanduka failed and check academic qualification
- Joined
- Nov 13, 2025
- Messages
- 5
Nataka kualpply TFS eneo la guard. Nina elimu ya IV na nimepita JKT na vyeti ninavyoNaomba msaada; nimejaza kila kitu na nacho apply wanataka cheti cha IV/VI na pia uwe na mafunzo ya military au polisi. But still inaanduka failed and check academic qualification
Kwanza kwenye nafasi husika wanataka wenye sifa gani?
2. Kwenye account yako ya ajira portal academic qualification umejazaje? sehemu ya program
2. Kwenye account yako ya ajira portal academic qualification umejazaje? sehemu ya program
Naomba msaada; nimejaza kila kitu na nacho apply wanataka cheti cha IV/VI na pia uwe na mafunzo ya military au polisi. But still inaanduka failed and check academic qualification
Kuna kozi hapo wamezitaja ukiandikana na form four au sixNataka kualpply TFS eneo la guard. Nina elimu ya IV na nimepita JKT na vyeti ninavyo
Jisajili ajira portal portal.ajira.go.tz na kisha jaza taarifa zako.
Hakikisha vyeti viwe vimehakikiwa na mwanasheria
Hakikisha vyeti viwe vimehakikiwa na mwanasheria
Habari za Asubuhi samahani kwa usumbufu nimesomea Mechanic technical katika chuo Cha vete Moshi Nina miaka mitatu Mpaka Sasa nikimaliza level ya certificate je napataje msaada wa connection ya kazi kama mtojali![]()
- Joined
- Nov 13, 2025
- Messages
- 5
CSE, na sifa wanazotaka niKwanza kwenye nafasi husika wanataka wenye sifa gani?
2. Kwenye account yako ya ajira portal academic qualification umejazaje? sehemu ya program
Kwanza kwenye nafasi husika wanataka wenye sifa gani?
2. Kwenye account yako ya ajira portal academic qualification umejazaje? sehemu ya program
Kwanza kwenye nafasi husika wanataka wenye sifa gani?
2. Kwenye account yako ya ajira portal academic qualification umejazaje? sehemu ya program
- Joined
- Nov 13, 2025
- Messages
- 5
Programe meweka CSE, na nimeattend Militar course na nina cheti cha pass
Form six si umefika?
Programe meweka CSE, na nimeattend Militar course na nina cheti cha pass
- Joined
- Nov 13, 2025
- Messages
- 5
SijafikaForm six si umefika?
Wewe una cheti cha mafunzo kipi?Sijafika
Maana hapo kwenye account yako lazima uwe academic qualification umejaza kuwa umeenda mafunzo fulani
Similar content
Most view
View more
| B |
Maswali kuhusu usaili ya Bunge?
|
| S |
Msaada wa maswali ya Civil Technician II TRA
|
| G |
Maswali ya record Management assistant
|
| J |
Maswali ya oral interview agricultural engineer II
|
| K |
MSAADA MASWALI YA AFISA HESABU II
|