Search results
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
-
Kuhusu usaili utumishi na data base
Samahani kiongozi, Hivi ikiwa nilifanya usaili wa Tutorial Assistant nikafanikiwa kufika Oral lakini sikupata kazi hiyo. Je, jina langu linabaki katika kanzi data za utumishi?