Simba wameifunga Ken Gold katika Ligi kuu ya Nbc Tanzania Magoli mawili "2" Kwa sufuri, Magoli yote yakifunga na Mchezaji Wao hatari Leonel Ateba katika dakika ya 41 na 44 kipindi Cha Kwanza.
Simba Sasa anafikisha alama 31 katika michezo 12 ya Ligi kuu Nbc Tanzania.
Mfungaji Leonel Ateba nae...