Mchezo Umetamatika: Simba 2 vs 0 Ken Gold

Mchezo Umetamatika: Simba 2 vs 0 Ken Gold

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Simba wameifunga Ken Gold katika Ligi kuu ya Nbc Tanzania Magoli mawili "2" Kwa sufuri, Magoli yote yakifunga na Mchezaji Wao hatari Leonel Ateba katika dakika ya 41 na 44 kipindi Cha Kwanza.

Simba Sasa anafikisha alama 31 katika michezo 12 ya Ligi kuu Nbc Tanzania.

Mfungaji Leonel Ateba nae amefikisha Magoli matano "5" sawa na Mchezaji Wao hatari Jean Charles Ahoua mwenye Magoli Matano "5".
IMG-20241218-WA0042.webp
 
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom