Mchezo Umetamatika: Simba 2 vs 0 Ken Gold

Mchezo Umetamatika: Simba 2 vs 0 Ken Gold

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Simba wameifunga Ken Gold katika Ligi kuu ya Nbc Tanzania Magoli mawili "2" Kwa sufuri, Magoli yote yakifunga na Mchezaji Wao hatari Leonel Ateba katika dakika ya 41 na 44 kipindi Cha Kwanza.

Simba Sasa anafikisha alama 31 katika michezo 12 ya Ligi kuu Nbc Tanzania.

Mfungaji Leonel Ateba nae amefikisha Magoli matano "5" sawa na Mchezaji Wao hatari Jean Charles Ahoua mwenye Magoli Matano "5".
IMG-20241218-WA0042.webp
 
Back
Top Bottom