Pyramid ya Misri wameshinda Leo Goli mbili Dhidi ya Esperance De Tunis ya Nchini Tunisia, huku Gd Sagrada Esperanca wakipats Ushindi wa Goli Moja Dhidi ya Djoliba Ac De Bamako
Yanga wameshinda Leo na kufufua matumaini ya kufuzu hatua ya robo fainali Africa CAFCL huku wakishika nafasi ya tatu na alama nne Nyuma ya Mc Alger mwenye alama sawa na Yanga akiwa na michezo Mitatu huku Yanga amecheza michezo minne na kinara Wao ni Al HILAL ambae anaongoza kundi hilo Kwa alama...
Rais wa Tp mazembe MOÏSE KATUMBI amewaahidi wachezaji wake dollar 💰$100,000 ambazo ni sawa na Tshs milioni (240,090,900.2695) kwa kila bao litakalofungwa dhidi ya Young AfricansSC leo Jumamosi 04 January 2025.
KIKOSI Cha Young African's vs Tp Mazembe Leo 04 January 2025
Klabu ya Yanga itakuwa nyumbani Leo kucheza mchezo unaofuata wa Ligi Ya Mabingwa Africa CAFCL dhidi ya Tp Mazembe.
Mchezo huo utapigwa January 04, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamin mkapa Tanzania Mkoani Dar es salaam saa kumi kamili...
Aliyekuwa Kocha Mkuu Wa JS Kabylie Abdelhak Benchikha Amejiuzulu katika nafasi yake hiyo ya Ukocha.
Benchikha Anasema
“Nikama nilikuwa naishi Njiani sijawahi kuipata Amani Hata kama tukishinda au Kupoteza sijawahi kuwa na Amani NIMECHOKA.”
Benchikha ameiacha JS Kabylie ikiongoza ligi Kwa...
Yanga Leo Dimbani kusaka Alama tatu ambazo zitafufua matumaini yao ya kufuzu hatua ya robo fainali ya michuano ya Klabu Bingwa Africa CAFCL, Mchezo utachezwa Benjamin mkapa Tanzania majira ya saa kumi jioni.
Clatous Chama na Attohoula Yao watakosekana kwenye mechi ya keshoCAF CL dhidi ya Tp...
Michuano ya Klabu Bingwa Africa CAFCL inaanza Leo katika Ungwe ya Nne.
Cr Belouizdad vs Al Ahly Sc Leo (Ijumaa) 10:00 PM
Yanga SC vs Tp Mazembe Kesho (Jumamosi) 04: 00 PM
Orlando pirates vs Stade D'Abidjan Kesho (Jumamosi) 07:00 PM
As Far Rabati vs As Maniema Kesho (Jumamosi) 10:00 PM
Raja...
Ni kweli Yanga ni miongoni mwa timu 6 ambazo hazijafanikiwa kupata ushindi wowote kwenye michuano ya CAF Interclub.
Ni kweli Yanga wana alama moja mkiani.
Lakini, Sidhani kama Yanga wakishindwa kufuzu hatua ya robo fainali ikuwa story kubwa sana...Na sioni kama kuna ulazima wa matokeo hayo...
Shirikisho la Mpira wa miguu nchini (TFF) imesimamisha ligi kuu Tanzania Bara kuanzia Disemba 29,2024 mpaka Machi 1,2025 kupisha michuano ya Mapinduzi Cup pamoja na Michuano ya CHAN itayoanza Mwezi january Mwaka Ujao.
Baada ya Shirikisho la kandanda Nchini Tanzania (TFF) kutangaza kuanzia...
Wananchi baada ya kushinda michezo minne mfululizo ya ligi kuu sasa wanarejea kwenye michuano ya kimataifa.
Ambapo ratiba inaonyesha kuwa Yanga Jumamosi hii January 4,2025 watawakaribisha TP Mazembe katika Uwanja wa Mkapa,Dar.
Wanachi wenye pointi 1 tu wanasaka ushindi wao wa kwanza kwenye...
Haya hapa maekezo aliyoyatoa waziri Wa Sanaa na Michezo Tanzania juu ya kuvunjwa viti Benjamin mkapa.
MAELEKEZO ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi kufuatia uharibifu wa viti uliofanyika katika Uwanja wa Benjamin Mkapa katika mchezo...
Mchezo umetamatika Kwa suruhu ya Goli Moja kwa Moja.
Hamna mbabe Kwa mwenzake, Orlando pirates wanakwenda kushika nafasi ya kwanza na points tano "5" michezo mitatu "3"wakifatiwa na Al Ahly (Misri) mwenye alama nne "4" na michezo miwili "2" huku Stade D'Abidjan akiburuza mkia na alama Moja "1"...
Simba SC wanajiandaa kwa mechi muhimu ya CAF Confederation Cup dhidi ya CS Constantine ya Algeria, huku macho yote yakiwa kwa kiungo mahiri Brahim Dib. Dib amekuwa moto msimu huu, akifunga mabao matano kwenye mechi 11 za ligi, pamoja na hat-trick ya kuvutia dhidi ya JS Kabylie, na pia kufunga...