caf

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. Msimamo Wa Makundi TotalEnergies CAFCC 2024/2025 Baada Ya Michezo Ya Ungwe Ya Nne Kukamilisha

    Msimamo Wa Makundi TotalEnergies CAFCC 2024/2025 Baada Ya Michezo Ya Ungwe Ya Nne Kukamilisha

    Huu hapa msimamo wa Makundi yote ya Kombe la shirikisho barani Africa CAFCC baada ya michezo ya Ungwe ya Nne Kukamilisha jana
  2. Michezo Ya Mapema Leo TotalEnergyCAFCL 2024/2025 Imetamatika

    Michezo Ya Mapema Leo TotalEnergyCAFCL 2024/2025 Imetamatika

    Pyramid ya Misri wameshinda Leo Goli mbili Dhidi ya Esperance De Tunis ya Nchini Tunisia, huku Gd Sagrada Esperanca wakipats Ushindi wa Goli Moja Dhidi ya Djoliba Ac De Bamako
  3. Michezo Ya Leo January 05, 2025 Kilabu Bingwa Africa TotallyEnergyCAFCL 2024/2025

    Michezo Ya Leo January 05, 2025 Kilabu Bingwa Africa TotallyEnergyCAFCL 2024/2025

    Leo michezo mitatu itapigwa ya kukamilisha Ungwe ya Nne kunako Ligi Ya Mabingwa Africa CAFCL.
  4. Msimamo Wa Kundi La Yanga Kundi A TotallyEnergy CAFCL 2024/2025

    Msimamo Wa Kundi La Yanga Kundi A TotallyEnergy CAFCL 2024/2025

    Yanga wameshinda Leo na kufufua matumaini ya kufuzu hatua ya robo fainali Africa CAFCL huku wakishika nafasi ya tatu na alama nne Nyuma ya Mc Alger mwenye alama sawa na Yanga akiwa na michezo Mitatu huku Yanga amecheza michezo minne na kinara Wao ni Al HILAL ambae anaongoza kundi hilo Kwa alama...
  5. Kikosi Cha Yanga Leo Dhidi Ya Tp Mazembe CAFCL 2024/2025

    Kikosi Cha Yanga Leo Dhidi Ya Tp Mazembe CAFCL 2024/2025

    Kikosi cha YANGA SC dhidi ya Mazembe 🇲🇱 Diarra 🇹🇿 Kibwana 🇨🇩 Boka 🇹🇿 Bacca 🇹🇿 Job 🇺🇬 Aucho 🇹🇿 Mudathir 🇧🇫 Aziz Ki 🇿🇼 Dube 🇹🇿 Mzize 🇨🇮 Pacome
  6. Kikosi Cha Tp Mazembe Kinachoanza Dhidi Ya Yanga Leo January 04, 2025 CAFCL

    Kikosi Cha Tp Mazembe Kinachoanza Dhidi Ya Yanga Leo January 04, 2025 CAFCL

    HIki hapa Kikosi Cha Tp Mazembe kinachoanza kuwavaa Yanga ya Tanzania Leo saa kumi kamili.
  7. Tp Mazembe Wapata Ahadi Nono Kutoka Kwa Raisi Wao Kwa Kila Goli

    Tp Mazembe Wapata Ahadi Nono Kutoka Kwa Raisi Wao Kwa Kila Goli

    Rais wa Tp mazembe MOÏSE KATUMBI amewaahidi wachezaji wake dollar 💰$100,000 ambazo ni sawa na Tshs milioni (240,090,900.2695) kwa kila bao litakalofungwa dhidi ya Young AfricansSC leo Jumamosi 04 January 2025.
  8. Kikosi Cha Yanga vs Tp Mazembe Leo 04 January 2025 CAFCL

    Kikosi Cha Yanga vs Tp Mazembe Leo 04 January 2025 CAFCL

    KIKOSI Cha Young African's vs Tp Mazembe Leo 04 January 2025 Klabu ya Yanga itakuwa nyumbani Leo kucheza mchezo unaofuata wa Ligi Ya Mabingwa Africa CAFCL dhidi ya Tp Mazembe. Mchezo huo utapigwa January 04, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamin mkapa Tanzania Mkoani Dar es salaam saa kumi kamili...
  9. Benchikha Ajiuzulu Ukocha Js Kabylie

    Benchikha Ajiuzulu Ukocha Js Kabylie

    Aliyekuwa Kocha Mkuu Wa JS Kabylie Abdelhak Benchikha Amejiuzulu katika nafasi yake hiyo ya Ukocha. Benchikha Anasema “Nikama nilikuwa naishi Njiani sijawahi kuipata Amani Hata kama tukishinda au Kupoteza sijawahi kuwa na Amani NIMECHOKA.” Benchikha ameiacha JS Kabylie ikiongoza ligi Kwa...
  10. Siku Ya Mchezo: Yanga vs Tp Mazembe CAFCL Leo 04 January 2025.

    Siku Ya Mchezo: Yanga vs Tp Mazembe CAFCL Leo 04 January 2025.

    Yanga Leo Dimbani kusaka Alama tatu ambazo zitafufua matumaini yao ya kufuzu hatua ya robo fainali ya michuano ya Klabu Bingwa Africa CAFCL, Mchezo utachezwa Benjamin mkapa Tanzania majira ya saa kumi jioni. Clatous Chama na Attohoula Yao watakosekana kwenye mechi ya keshoCAF CL dhidi ya Tp...
  11. Ligi Ya Mabingwa Africa CAFCL 2024/2025 Yaanza Kutimua Vumbi Leo

    Ligi Ya Mabingwa Africa CAFCL 2024/2025 Yaanza Kutimua Vumbi Leo

    Michuano ya Klabu Bingwa Africa CAFCL inaanza Leo katika Ungwe ya Nne. Cr Belouizdad vs Al Ahly Sc Leo (Ijumaa) 10:00 PM Yanga SC vs Tp Mazembe Kesho (Jumamosi) 04: 00 PM Orlando pirates vs Stade D'Abidjan Kesho (Jumamosi) 07:00 PM As Far Rabati vs As Maniema Kesho (Jumamosi) 10:00 PM Raja...
  12. Yanga Kufuatia Mchezo Wa Kesho January 04, 2025 Dhidi Ya Tp Mazembe Nyumbani (CAFCL)

    Yanga Kufuatia Mchezo Wa Kesho January 04, 2025 Dhidi Ya Tp Mazembe Nyumbani (CAFCL)

    Ni kweli Yanga ni miongoni mwa timu 6 ambazo hazijafanikiwa kupata ushindi wowote kwenye michuano ya CAF Interclub. Ni kweli Yanga wana alama moja mkiani. Lakini, Sidhani kama Yanga wakishindwa kufuzu hatua ya robo fainali ikuwa story kubwa sana...Na sioni kama kuna ulazima wa matokeo hayo...
  13. Ligi Ya Nbc Tanzania Kusimama Mpaka March.

    Ligi Ya Nbc Tanzania Kusimama Mpaka March.

    Shirikisho la Mpira wa miguu nchini (TFF) imesimamisha ligi kuu Tanzania Bara kuanzia Disemba 29,2024 mpaka Machi 1,2025 kupisha michuano ya Mapinduzi Cup pamoja na Michuano ya CHAN itayoanza Mwezi january Mwaka Ujao. Baada ya Shirikisho la kandanda Nchini Tanzania (TFF) kutangaza kuanzia...
  14. Kituo Kinachofuata Kwa Yanga SC ni CAFCL Dhidi Ya Tp Mazembe

    Kituo Kinachofuata Kwa Yanga SC ni CAFCL Dhidi Ya Tp Mazembe

    Wananchi baada ya kushinda michezo minne mfululizo ya ligi kuu sasa wanarejea kwenye michuano ya kimataifa. Ambapo ratiba inaonyesha kuwa Yanga Jumamosi hii January 4,2025 watawakaribisha TP Mazembe katika Uwanja wa Mkapa,Dar. Wanachi wenye pointi 1 tu wanasaka ushindi wao wa kwanza kwenye...
  15. Waziri Wa Sanaa na Michezo Ametoa Maelekezo Kufuatia kuvunjwa viti Benjamin mkapa.

    Waziri Wa Sanaa na Michezo Ametoa Maelekezo Kufuatia kuvunjwa viti Benjamin mkapa.

    Haya hapa maekezo aliyoyatoa waziri Wa Sanaa na Michezo Tanzania juu ya kuvunjwa viti Benjamin mkapa. MAELEKEZO ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi kufuatia uharibifu wa viti uliofanyika katika Uwanja wa Benjamin Mkapa katika mchezo...
  16. MCHEZO UMEMALIZIKA: Stade D'Abidjan 1 vs 1 Orlando pirates

    MCHEZO UMEMALIZIKA: Stade D'Abidjan 1 vs 1 Orlando pirates

    Mchezo umetamatika Kwa suruhu ya Goli Moja kwa Moja. Hamna mbabe Kwa mwenzake, Orlando pirates wanakwenda kushika nafasi ya kwanza na points tano "5" michezo mitatu "3"wakifatiwa na Al Ahly (Misri) mwenye alama nne "4" na michezo miwili "2" huku Stade D'Abidjan akiburuza mkia na alama Moja "1"...
  17. G

    Habari za Michezo Simba SC Kuwakabili CS Constantine: Vita ya Kudhibiti Brahim Dib

    Simba SC wanajiandaa kwa mechi muhimu ya CAF Confederation Cup dhidi ya CS Constantine ya Algeria, huku macho yote yakiwa kwa kiungo mahiri Brahim Dib. Dib amekuwa moto msimu huu, akifunga mabao matano kwenye mechi 11 za ligi, pamoja na hat-trick ya kuvutia dhidi ya JS Kabylie, na pia kufunga...
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom