Benchikha Ajiuzulu Ukocha Js Kabylie

Benchikha Ajiuzulu Ukocha Js Kabylie

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Aliyekuwa Kocha Mkuu Wa JS Kabylie Abdelhak Benchikha Amejiuzulu katika nafasi yake hiyo ya Ukocha.
FB_IMG_1735976968090.webp


Benchikha Anasema

“Nikama nilikuwa naishi Njiani sijawahi kuipata Amani Hata kama tukishinda au Kupoteza sijawahi kuwa na Amani NIMECHOKA.”

Benchikha ameiacha JS Kabylie ikiongoza ligi Kwa Jumla ya Alama 24.

Benchikha Amejiuzulu Mara 3 sasa Mfululizo akiwa kama Kocha USM Alger 🇩🇿 Simba Sc 🇹🇿 JS Kabylie 🇩🇿.
 
Last edited:
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom