cafcl

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. Msimamo Wa Makundi TotalEnergies CAFCL 2024/2025 Baada Ya Michezo Ya Ungwe Ya Nne Kukamilisha

    Msimamo Wa Makundi TotalEnergies CAFCL 2024/2025 Baada Ya Michezo Ya Ungwe Ya Nne Kukamilisha

    Huu hapa msimamo wa Makundi yote ya Kilabu Bingwa Africa CAFCL baada ya kukamilisha Kwa mzunguko wa nne.
  2. Al Hilal Wafusu Hatua Ya Robo Fainali TotalEnergiesCAFCL 2024/2025

    Al Hilal Wafusu Hatua Ya Robo Fainali TotalEnergiesCAFCL 2024/2025

    Klabu ya Al Hilal kutoka Sudan 🇸🇩 inakuwa timu ya kwanza msimu huu kwenye CAFCL kufuzu hatua ya Robo Fainali ya michuano hiyo . Kwenye michezo minne amekusanya Alama 10 . Kwasasa ni Yanga wenyewe washinde game zao bila kuangalia matokeo ya MC Alger ….. hii ni baada ya sare ya 1-1 dhidi ya...
  3. Michezo Ya Mapema Leo TotalEnergyCAFCL 2024/2025 Imetamatika

    Michezo Ya Mapema Leo TotalEnergyCAFCL 2024/2025 Imetamatika

    Pyramid ya Misri wameshinda Leo Goli mbili Dhidi ya Esperance De Tunis ya Nchini Tunisia, huku Gd Sagrada Esperanca wakipats Ushindi wa Goli Moja Dhidi ya Djoliba Ac De Bamako
  4. Mapumziko Michezo Ya Mapema Leo TotalEnergyCAFCL 2024/2025

    Mapumziko Michezo Ya Mapema Leo TotalEnergyCAFCL 2024/2025

    Gd Sagrada Esperanca anaongoza Kwa Goli Moja Dhidi ya Djoliba Ac De Bamako huku Pyramid wakiwa suruhu Dhidi ya Esperance De Tunis
  5. Michezo Ya Leo January 05, 2025 Kilabu Bingwa Africa TotallyEnergyCAFCL 2024/2025

    Michezo Ya Leo January 05, 2025 Kilabu Bingwa Africa TotallyEnergyCAFCL 2024/2025

    Leo michezo mitatu itapigwa ya kukamilisha Ungwe ya Nne kunako Ligi Ya Mabingwa Africa CAFCL.
  6. Msimamo Wa Kundi La Yanga Kundi A TotallyEnergy CAFCL 2024/2025

    Msimamo Wa Kundi La Yanga Kundi A TotallyEnergy CAFCL 2024/2025

    Yanga wameshinda Leo na kufufua matumaini ya kufuzu hatua ya robo fainali Africa CAFCL huku wakishika nafasi ya tatu na alama nne Nyuma ya Mc Alger mwenye alama sawa na Yanga akiwa na michezo Mitatu huku Yanga amecheza michezo minne na kinara Wao ni Al HILAL ambae anaongoza kundi hilo Kwa alama...
  7. Mchezo Umetamatika: Yanga SC 3️⃣ 🆚 TP MAZEMBE 1️⃣ TotalEnergiesCAFCL 2024/2025

    Mchezo Umetamatika: Yanga SC 3️⃣ 🆚 TP MAZEMBE 1️⃣ TotalEnergiesCAFCL 2024/2025

    Yanga walianza mechi vizuri sana : umiliki wa mpira , intensity ya hali ya juu , pressing , walikuwa wanapasiana mpira vizuri sana wakati wanaanza “Build Up” na walitumia sana eneo la katikati kutengeneza nafasi kwasababu Tp Mazembe walikuwa wanazuia wakiwa chini lakini hawakufanya pressing ya...
  8. Kikosi Cha Yanga Leo Dhidi Ya Tp Mazembe CAFCL 2024/2025

    Kikosi Cha Yanga Leo Dhidi Ya Tp Mazembe CAFCL 2024/2025

    Kikosi cha YANGA SC dhidi ya Mazembe 🇲🇱 Diarra 🇹🇿 Kibwana 🇨🇩 Boka 🇹🇿 Bacca 🇹🇿 Job 🇺🇬 Aucho 🇹🇿 Mudathir 🇧🇫 Aziz Ki 🇿🇼 Dube 🇹🇿 Mzize 🇨🇮 Pacome
  9. Kikosi Cha Tp Mazembe Kinachoanza Dhidi Ya Yanga Leo January 04, 2025 CAFCL

    Kikosi Cha Tp Mazembe Kinachoanza Dhidi Ya Yanga Leo January 04, 2025 CAFCL

    HIki hapa Kikosi Cha Tp Mazembe kinachoanza kuwavaa Yanga ya Tanzania Leo saa kumi kamili.
  10. Tp Mazembe Wapata Ahadi Nono Kutoka Kwa Raisi Wao Kwa Kila Goli

    Tp Mazembe Wapata Ahadi Nono Kutoka Kwa Raisi Wao Kwa Kila Goli

    Rais wa Tp mazembe MOÏSE KATUMBI amewaahidi wachezaji wake dollar 💰$100,000 ambazo ni sawa na Tshs milioni (240,090,900.2695) kwa kila bao litakalofungwa dhidi ya Young AfricansSC leo Jumamosi 04 January 2025.
  11. Kikosi Cha Yanga vs Tp Mazembe Leo 04 January 2025 CAFCL

    Kikosi Cha Yanga vs Tp Mazembe Leo 04 January 2025 CAFCL

    KIKOSI Cha Young African's vs Tp Mazembe Leo 04 January 2025 Klabu ya Yanga itakuwa nyumbani Leo kucheza mchezo unaofuata wa Ligi Ya Mabingwa Africa CAFCL dhidi ya Tp Mazembe. Mchezo huo utapigwa January 04, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamin mkapa Tanzania Mkoani Dar es salaam saa kumi kamili...
  12. Siku Ya Mchezo: Yanga vs Tp Mazembe CAFCL Leo 04 January 2025.

    Siku Ya Mchezo: Yanga vs Tp Mazembe CAFCL Leo 04 January 2025.

    Yanga Leo Dimbani kusaka Alama tatu ambazo zitafufua matumaini yao ya kufuzu hatua ya robo fainali ya michuano ya Klabu Bingwa Africa CAFCL, Mchezo utachezwa Benjamin mkapa Tanzania majira ya saa kumi jioni. Clatous Chama na Attohoula Yao watakosekana kwenye mechi ya keshoCAF CL dhidi ya Tp...
  13. Ligi Ya Mabingwa Africa CAFCL 2024/2025 Yaanza Kutimua Vumbi Leo

    Ligi Ya Mabingwa Africa CAFCL 2024/2025 Yaanza Kutimua Vumbi Leo

    Michuano ya Klabu Bingwa Africa CAFCL inaanza Leo katika Ungwe ya Nne. Cr Belouizdad vs Al Ahly Sc Leo (Ijumaa) 10:00 PM Yanga SC vs Tp Mazembe Kesho (Jumamosi) 04: 00 PM Orlando pirates vs Stade D'Abidjan Kesho (Jumamosi) 07:00 PM As Far Rabati vs As Maniema Kesho (Jumamosi) 10:00 PM Raja...
  14. Yanga Kufuatia Mchezo Wa Kesho January 04, 2025 Dhidi Ya Tp Mazembe Nyumbani (CAFCL)

    Yanga Kufuatia Mchezo Wa Kesho January 04, 2025 Dhidi Ya Tp Mazembe Nyumbani (CAFCL)

    Ni kweli Yanga ni miongoni mwa timu 6 ambazo hazijafanikiwa kupata ushindi wowote kwenye michuano ya CAF Interclub. Ni kweli Yanga wana alama moja mkiani. Lakini, Sidhani kama Yanga wakishindwa kufuzu hatua ya robo fainali ikuwa story kubwa sana...Na sioni kama kuna ulazima wa matokeo hayo...
  15. Mpanzu Sasa Kuitumikia Simba sports club Katika Michuano Ya Shirikisho Africa CAFCC

    Mpanzu Sasa Kuitumikia Simba sports club Katika Michuano Ya Shirikisho Africa CAFCC

    Klabu ya Simba SC imefanikiwa kumsajili kwenye mfumo wa CAF winga wao mpya Ellie Mpanzu na sasa nyota huyo anaruhusiwa kuichezea Simba kwenye mechi za kombe la shirikisho (CAF Confederation Cup) na ataanza jumapili January 05, dhidi ya CS Sfaxien ya Tunisia mchezo utaochezwa majira ya saa 1:00...
  16. Ratiba Ya Michezo Mitatu "3" Ijayo Yanga Kimataifa

    Ratiba Ya Michezo Mitatu "3" Ijayo Yanga Kimataifa

    1.YANGA vs TP MAZEMBE 🇨🇩 -JANUARY 4 KWA MKAPA Saa kumi Jioni 2.AL HILAL 🇸🇩 Vs YANGA - JANUARY 12 MAURITANIA 🇲🇷 Saa nne usiku 3.YANGA Vs MC ALGER 🇩🇿 - JANUARY 18 KWA MKAPA saa kumi Jioni Wananchi taarifa iwafikie kuwa hakuna mchezo wowote wa ligi mpaka michezo yenu yote ya kimataifa...
  17. Kituo Kinachofuata Kwa Yanga SC ni CAFCL Dhidi Ya Tp Mazembe

    Kituo Kinachofuata Kwa Yanga SC ni CAFCL Dhidi Ya Tp Mazembe

    Wananchi baada ya kushinda michezo minne mfululizo ya ligi kuu sasa wanarejea kwenye michuano ya kimataifa. Ambapo ratiba inaonyesha kuwa Yanga Jumamosi hii January 4,2025 watawakaribisha TP Mazembe katika Uwanja wa Mkapa,Dar. Wanachi wenye pointi 1 tu wanasaka ushindi wao wa kwanza kwenye...
  18. MCHEZO UMEMALIZIKA: Stade D'Abidjan 1 vs 1 Orlando pirates

    MCHEZO UMEMALIZIKA: Stade D'Abidjan 1 vs 1 Orlando pirates

    Mchezo umetamatika Kwa suruhu ya Goli Moja kwa Moja. Hamna mbabe Kwa mwenzake, Orlando pirates wanakwenda kushika nafasi ya kwanza na points tano "5" michezo mitatu "3"wakifatiwa na Al Ahly (Misri) mwenye alama nne "4" na michezo miwili "2" huku Stade D'Abidjan akiburuza mkia na alama Moja "1"...
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom