chuo

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. G

    Kipi kianze baada ya kumaliza Chuo?

    Ebu ongea ungependa kianze nini ikiwa umemaliza Chuo tu. Ni hatua gani itaanza katika safari yako ya maisha baada ya masomo Nyumba Gari Ndoa Ajira Kujiajiri Chagua namba na sema kwa nini.
  2. S

    Orodha ya Vyuo Vikuu Bora Tanzania: Maelezo ya kila Chuo | 10 Bora

    Hii hapa Orodha ya Vyuo Vikuu Bora Tanzania: Maelezo ya kila Chuo | 10 Bora pamoja na kozi zinazo tolewa, ada, gharama. 1. Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM): Kama chuo kikuu cha kwanza nchini, UDSM kinatoa mazingira ya kujifunza yenye changamoto na yenye utajiri wa kitaaluma. Chuo hiki...
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom