cs sfaxien vs simba

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. Kuelekea Mchezo Wa Leo: Cs sfaxien vs Simba sports club TotallyEnergyCAFCC 2024/2025

    Kuelekea Mchezo Wa Leo: Cs sfaxien vs Simba sports club TotallyEnergyCAFCC 2024/2025

    CS Sfaxien wako nyumbani leo kwenye kampeni yao kufuzu hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho na wanacheza dimbani kucheza na Simba Sc. Sfaxien hawajashinda mchezo wowote katika michezo mitatu waliyocheza na wako mkiani wakiwa hawana alama yoyote mpaka sasa huku wakiwa wameruhusu mabao 6...
  2. Takwimu Za Simba Sports Club Michezo Ya Ugenini CAF

    Takwimu Za Simba Sports Club Michezo Ya Ugenini CAF

    SIMBA 🇹🇿 wakiwa Ugenini mechi 5 za mwisho CAF ❌ Wydad 1-0 Simba 🤝 Asec 0-0 Simba ❌ Al Ahly 2-0 Simba 🤝 Ahli Tripoli 0-0 Simba ❌ Constatine 2-1 Simba Leo Vs Cs sfaxien..?
  3. Michezo Ya Leo January 05, 2025 TotallyEnergyCAFCC 2024/2025

    Michezo Ya Leo January 05, 2025 TotallyEnergyCAFCC 2024/2025

    Michezo ya leo Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC)
  4. Siku Ya Mchezo: Cs sfaxien Vs Simbasc TotallyEnergyCAFCC 2024/2025

    Siku Ya Mchezo: Cs sfaxien Vs Simbasc TotallyEnergyCAFCC 2024/2025

    Leo, Mnyama, Simba SC yupo dimba la ugenini nchini Tunisia akiwakabili CS Sfaxien. mechi ya marudiano Kombe la Shirikisho Afrika, Kundi A. Mtanange huu utapigwa saa 1:00 usiku Leo January 05, 2025.
  5. Mkutano Na Waandishi Wa Habari Nchini Tunisia, Simba Sports Club Kuelekea Mchezo Wa Leo January 05, 2025 CAFCC

    Mkutano Na Waandishi Wa Habari Nchini Tunisia, Simba Sports Club Kuelekea Mchezo Wa Leo January 05, 2025 CAFCC

    Kocha Mkuu wa klabu ya Simba sports club Fadlu Davids ameweka wazi kuwa mchezo wa leo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika (𝗧𝗼𝘁𝗮𝗹𝗘𝗻𝗲𝗿𝗴𝗶𝗲𝘀𝗖𝗔𝗙𝗖𝗖) dhidi ya CS Sfaxien utakuwa mgumu kutokana na ubora wa wapinzani Kocha Fadlu amesema pamoja na CS Sfaxien kufanya mabadiliko kwenye benchi la...
  6. Mzamiru Afunguka Kuelekea Mchezo Wa Kesho Jumapili 05 January 2025.

    Mzamiru Afunguka Kuelekea Mchezo Wa Kesho Jumapili 05 January 2025.

    KIUNGO wa Simba Mzamiru Yassin amesema mechi yao ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF CC) dhidi ya Sfaxien ya Tunisia haitakuwa nyepesi wanahitaji jitihada, umakini na nguvu kuhakikisha wanapata matokeo. “Mechi za ugenini huwa ni ngumu haijalishi umecheza na timu gani tunatakiwa tuwe makini, mtu...
  7. Simba Yaanza Mazoezi Nchini Tunisia Leo 02 January 2025.

    Simba Yaanza Mazoezi Nchini Tunisia Leo 02 January 2025.

    Kikosi cha Simba Sports Club kimefanya mazoezi ya kwanza nchini Tunisia tayari kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika 𝗧𝗼𝘁𝗮𝗹𝗘𝗻𝗲𝗿𝗴𝗶𝗲𝘀𝗖𝗔𝗙𝗖𝗖 dhidi ya CS Sfaxien🇹🇳 utakaopigwa Jumapili Januari 5. Mazoezi hayo yamefanyika katika Uwanja wa nje wa Olympique De R – Tunis ambao...
  8. Simba Wabadirishiwa Uwanja CAFCC

    Simba Wabadirishiwa Uwanja CAFCC

    Mchezo wa CAF Confederation Cup kati ya CS Sfaxien dhidi ya Simba SC utachezwa katika Uwanja wa Olympique Rades unaopatikana Jijini Tunis BADALA YA uwanja wa nyumbani wa CS Sfaxien unaoitwa Taeib Mehir uliopo katika mji wa Sfax kilomita 267 kuelekea Tunis Sfaxien wanaenda kutumia uwanja wa Rades...
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom