fadlu davids

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. Kocha Mkuu Wa Simba Sports Club Ageuka Mwiba Kwa Wapinzani

    Kocha Mkuu Wa Simba Sports Club Ageuka Mwiba Kwa Wapinzani

    Fadlu amegeuka mwiba mkali kwa wapinzani. Simba ya Fadlu imeruhusu goli chache (5) kwenye mechi 15 za NBC. Simba imeruhusu goli chache (3) kwenye kundi (A) CAF. Simba ni vinara wa kundi (A) CAF. Simba ni vinara NBC. Fadlu na Simba yake wanaongoza kila kona…..Fadlu amegeuka shubiri kwa wapinzani
  2. G

    Habari za Michezo Simba SC Kuwakabili CS Constantine: Vita ya Kudhibiti Brahim Dib

    Simba SC wanajiandaa kwa mechi muhimu ya CAF Confederation Cup dhidi ya CS Constantine ya Algeria, huku macho yote yakiwa kwa kiungo mahiri Brahim Dib. Dib amekuwa moto msimu huu, akifunga mabao matano kwenye mechi 11 za ligi, pamoja na hat-trick ya kuvutia dhidi ya JS Kabylie, na pia kufunga...
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom