Kocha Mkuu Wa Simba Sports Club Ageuka Mwiba Kwa Wapinzani

Kocha Mkuu Wa Simba Sports Club Ageuka Mwiba Kwa Wapinzani

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Fadlu amegeuka mwiba mkali kwa wapinzani.

Simba ya Fadlu imeruhusu goli chache (5) kwenye mechi 15 za NBC.

Simba imeruhusu goli chache (3) kwenye kundi (A) CAF.

Simba ni vinara wa kundi (A) CAF.

Simba ni vinara NBC.

Fadlu na Simba yake wanaongoza kila kona…..Fadlu amegeuka shubiri kwa wapinzani
IMG-20250105-WA0016.webp
 
Back
Top Bottom