Kocha Mkuu Wa Simba Sports Club Ageuka Mwiba Kwa Wapinzani

Kocha Mkuu Wa Simba Sports Club Ageuka Mwiba Kwa Wapinzani

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Fadlu amegeuka mwiba mkali kwa wapinzani.

Simba ya Fadlu imeruhusu goli chache (5) kwenye mechi 15 za NBC.

Simba imeruhusu goli chache (3) kwenye kundi (A) CAF.

Simba ni vinara wa kundi (A) CAF.

Simba ni vinara NBC.

Fadlu na Simba yake wanaongoza kila kona…..Fadlu amegeuka shubiri kwa wapinzani
IMG-20250105-WA0016.webp
 
Back
Top Bottom