Jean Charles Ahoua kwenye kombe la shirikisho Afrika, amehusika kwenye magoli manne (04) hadi hivi sasa.
Ametoa pasi za magoli (02) huku akifunga magoli mawili hadi hivi sasa 🔥 kwenye eneo la takwimu jamaa ni hatari sana 🙌
Remember the name : Jean Charles Ahoua ✅
Ahoua Charles ndiye mchezaji wa kwanza kufunga mabao 5+ na kutoa assists 5+ katika NBC Premier League msimu huu.
◉ 14 - Games
◉ 07 - Goals
◉ 05 - Assists
◉ 12 - G/A
Wachezaji wenye G/A nyingi zaidi katika Nbc Premier League 2024|25 hadi sasa .
◉ 13 — Feisal Salum 🇹🇿
◉ 12 — Ahoua Charles 🇮🇪
◉...
Kocha Fadlu Davids amewapa mapumziko ya siku mbili wachezaji wake ambapo ni leo na kesho Jumatatu
Kikosi kitarejea mazoezini Jumanne asubuhi na jioni kitaanza safari kuelekea Tunisia kwaajili ya mchezo wa CAFCC dhidi ya CS Sfaxien utakaochezwa jumapili ya Januari 5 mwakani 2025
Simba watafika...