Haya hapa majina ya Kidato cha Sita Waliochaguliwa JKT 2025 Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajabu Nduku Mabele, anatoa wito kwa Vijana waliohitimu elimu ya sekondari kidato cha sita kwa mwaka 2025, kutoka Shule zote za Tanzania Bara kuhudhuria Mafunzo ya JKT kwa Mujibu wa...
Haya hapa majina ya Waliochaguliwa JKT 2025 Selection Mujibu wa Sheria, Majina ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga JKT 2025: Jeshi la kujenga Taifa Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajabu Nduku Mabele, anatoa wito kwa Vijana waliohitimu elimu ya sekondari kidato cha sita kwa...
Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajabu Nduku Mabele, anatoa wito kwa Vijana waliohitimu elimu ya sekondari kidato cha sita kwa mwaka 2025, kutoka Shule zote za Tanzania Bara kuhudhuria Mafunzo ya JKT kwa Mujibu wa Sheria kwa mwaka 2025.
Sanjari na wito huo, JKT limewapangia...
Yajivunia ulinzi kwa Taifa, ushiriki wa miradi mikubwa ya kimkakati nchini.
Meja Jenerali Mabele aeleza namna walivyojenga Ikulu ya Chamwino, ukuta Mirerani usiku na mchana.
Mashirika yake ya uzalishaji SUMAJKT, SUMAJKT Catering yasaidia kuzalisha ajira kwa vijana sekta binafsi.