🚨𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐓𝐈𝐌𝐄 🏆#NBCPremierLeague
Kagera Sugar 2-5 Simba Sports Club
⚽Kapombe
⚽Ahoua
⚽Ngoma
⚽Mukwala
⚽Mukwala
Leo ilikua mechi ya kwanza Kwa Elie Mpanzu kuitumikia Simba Hakika Anajua wanasimba wenyewe wameona....
Touch turn and shoot,touch turn and shoot yes! Ni style mpya mjini ambayo imeletwa...
Kikosi cha Simba sports club kinaondoka leo saa tano asubuhi kuelekea Bukoba, Kagera kwa ajili ya mchezo dhidi ya Kagera Sugar, utakaopigwa jumamosi ya Desemba 2, 2024.
Baada ya mechi jana wachezaji waliruhusiwa kurudi nyumbani kwao kwaajili ya mapumziko na Sasa wamewasili kambini tayari Kwa...