Simba sports club safarini Leo Tarehe 19 December 2024 Kuwakabili Kagera Sugar.

Simba sports club safarini Leo Tarehe 19 December 2024 Kuwakabili Kagera Sugar.

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Kikosi cha Simba sports club kinaondoka leo saa tano asubuhi kuelekea Bukoba, Kagera kwa ajili ya mchezo dhidi ya Kagera Sugar, utakaopigwa jumamosi ya Desemba 2, 2024.

Baada ya mechi jana wachezaji waliruhusiwa kurudi nyumbani kwao kwaajili ya mapumziko na Sasa wamewasili kambini tayari Kwa safari.
20240922_201837.webp

Winga Elie Mpanzu anasafiri leo kuelekea Bukoba, Kagera kuvaana na Kagera Sugar baada ya jana kushindwa kucheza dakika za mwisho baada ya kukosa leseni iliyochelewa.
20241115_212759.webp
 
Back
Top Bottom