ligi kuu tanzania

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. Takwimu Za Simba sports club Hadi Leo Tarehe 18 December Kwenye Ligi Kuu Nbc Tanzania 2024/2025.

    Takwimu Za Simba sports club Hadi Leo Tarehe 18 December Kwenye Ligi Kuu Nbc Tanzania 2024/2025.

    SIMBA SPORTS CLUB KATIKA LIGI KUU MPAKA SASA ➡️ROUND 12.✅ ⚽ WAFUNGAJI BORA 🇨🇲Leonel Ateba - 5 🇨🇮Jean Charles Ahoua - 5 🇹🇿Valentino Mashaka - 2 🇺🇬Desse Mukwala - 2 🇨🇲Che Melone - 2 🇹🇿Awesu Awesu - 2 🇹🇿Edwin Balua - 2 🇨🇩Fabrice Ngoma - 1 🇨🇬Debora Fernandez - 1 🇹🇿Shomari Kapombe - 1 🇹🇿Mohammed...
  2. Uchambuzi, Mechi Ya Simba vs Ken Gold Leo Tarehe 18 December 2024

    Uchambuzi, Mechi Ya Simba vs Ken Gold Leo Tarehe 18 December 2024

    Simba walimaliza game kipindi cha kwanza , walikuwa bora kwenye kila eneo (Wakiwa na mpira na wasipokuwa na mpira ….. Nafikiri ni wao tu kuwa na utulivu eneo la mwisho walitengeneza nafasi nyingi sana . Kipindi cha pili , Fadlu Davids aliamua kuifunga game (Fabrice & Mzamiru Out then Kagoma na...
  3. Msimamo wa Ligi kuu Nbc Tanzania Bara Baada Ya Mchezo Wa Leo Tarehe 18 December 2024.

    Msimamo wa Ligi kuu Nbc Tanzania Bara Baada Ya Mchezo Wa Leo Tarehe 18 December 2024.

    Huu hapa msimamo wa Ligi kuu Nbc Tanzania Bara Baada ya Mchezo wa Leo (Simbasc vs Ken Gold).
  4. Mchezo Umetamatika: Simba 2 vs 0 Ken Gold

    Mchezo Umetamatika: Simba 2 vs 0 Ken Gold

    Simba wameifunga Ken Gold katika Ligi kuu ya Nbc Tanzania Magoli mawili "2" Kwa sufuri, Magoli yote yakifunga na Mchezaji Wao hatari Leonel Ateba katika dakika ya 41 na 44 kipindi Cha Kwanza. Simba Sasa anafikisha alama 31 katika michezo 12 ya Ligi kuu Nbc Tanzania. Mfungaji Leonel Ateba nae...
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom