Kocha wa AS Maniema, Papy Kimoto, amesema timu yake iko tayari kwa mechi dhidi ya Raja Casablanca. Ameeleza kuwa joto kali la Kinshasa linaweza kuwa faida kwa timu yake, kwani wapinzani wao hawajazoea hali hiyo. Licha ya kutambua uwezo wa Raja, Kimoto ana uhakika kwamba Maniema imejipanga vyema...
Hivi hapa Viingilio vya Yanga SC vs. Al Hilal: Mechi Kubwa, Ligi ya Mabingwa Yanga SC 2024/2025 | Tiketi Zaanza Kuuzwa Rasmi! Wananchi, mchezo wetu dhidi ya Al Hilal unakaribia! Mechi hii muhimu itachezwa tarehe 26 Novemba 2024, kuanzia saa 10:00 jioni, kwenye uwanja wetu wa kihistoria, Benjamin...
Wananchi, maandalizi kuelekea mchezo wetu muhimu wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Al Hilal tarehe 26 Novemba 2024 yanaendelea kwa kasi, na tunayo habari njema kwa mashabiki wetu wote! Swali ambalo wengi wamekuwa wakiuliza limepata jibu: Jezi mpya za Ligi ya Mabingwa zipo tayari!
Jezi Mpya za Ligi ya...