ligi ya mabingwa

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. Kocha Papy Kimoto Anaamini Ushindi Dhidi ya Raja Casablanca

    Habari za Michezo Kocha Papy Kimoto Anaamini Ushindi Dhidi ya Raja Casablanca

    Kocha wa AS Maniema, Papy Kimoto, amesema timu yake iko tayari kwa mechi dhidi ya Raja Casablanca. Ameeleza kuwa joto kali la Kinshasa linaweza kuwa faida kwa timu yake, kwani wapinzani wao hawajazoea hali hiyo. Licha ya kutambua uwezo wa Raja, Kimoto ana uhakika kwamba Maniema imejipanga vyema...
  2. Viingilio vya Yanga SC vs. Al Hilal: Mechi Kubwa, Ligi ya Mabingwa 2024/2025 | Tiketi Zaanza Kuuzwa Rasmi!

    Habari za Michezo Viingilio vya Yanga SC vs. Al Hilal: Mechi Kubwa, Ligi ya Mabingwa 2024/2025 | Tiketi Zaanza Kuuzwa Rasmi!

    Hivi hapa Viingilio vya Yanga SC vs. Al Hilal: Mechi Kubwa, Ligi ya Mabingwa Yanga SC 2024/2025 | Tiketi Zaanza Kuuzwa Rasmi! Wananchi, mchezo wetu dhidi ya Al Hilal unakaribia! Mechi hii muhimu itachezwa tarehe 26 Novemba 2024, kuanzia saa 10:00 jioni, kwenye uwanja wetu wa kihistoria, Benjamin...
  3. Jezi Mpya za Ligi ya Mabingwa Yanga SC Zazinduliwa Rasmi 2024/2025 | Tarehe 20!

    Habari za Michezo Jezi Mpya za Ligi ya Mabingwa Yanga SC Zazinduliwa Rasmi 2024/2025 | Tarehe 20!

    Wananchi, maandalizi kuelekea mchezo wetu muhimu wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Al Hilal tarehe 26 Novemba 2024 yanaendelea kwa kasi, na tunayo habari njema kwa mashabiki wetu wote! Swali ambalo wengi wamekuwa wakiuliza limepata jibu: Jezi mpya za Ligi ya Mabingwa zipo tayari! Jezi Mpya za Ligi ya...
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom