mwananchiforum. com

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. Ramovic Hesabu Zipo Sawa Yanga Kufuzu Hatua Ya Robo Fainali TotalEnergiesCAFCL 2024/2025

    Ramovic Hesabu Zipo Sawa Yanga Kufuzu Hatua Ya Robo Fainali TotalEnergiesCAFCL 2024/2025

    Kocha mkuu wa Yanga, Sead Ramovic amesema hadi sasa hesabu za timu hiyo kutinga Robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika zipo sawa baada ya kuifumua TP Mazembe kwa mabao 3-1 na kudai kipigo hicho ni kidogo kuliko nafasi walizotengeneza. Ramovic, aliyepata ushindi wa kwanza CAF akiwa kocha wa...
  2. Mchezo Umetamatika: Cs Sfaxien 0 Vs 1 Simbasc TotalEnergiesCAFCC 2024/2025

    Mchezo Umetamatika: Cs Sfaxien 0 Vs 1 Simbasc TotalEnergiesCAFCC 2024/2025

    Ushindi wa Simba dhidi ya Cs Sfaxien unawapeleka kileleni mwa msimamo wa kundi A wakiwa na alama 9 na kuzima ile kauli ya Simba huwa haijawahi kushinda nyumbani kwa mwarabu. Ni mechi ambayo ilihitaji wachezaji wanaokimbia sana kiwanjani , kulikuwa na matumizi ya mipira mingi mirefu , power play...
  3. Kikosi Cha Simbasc vs Cs Sfaxien Leo January 05, 2025 TotallyEnergyCAFCC 2024/2025

    Kikosi Cha Simbasc vs Cs Sfaxien Leo January 05, 2025 TotallyEnergyCAFCC 2024/2025

    KIKOSI Cha Simba Sports Club Dhidi Ya Cs Sfaxien Leo January 05, 2025 TotallyEnergyCAFCC Klabu ya Simba itakuwa ugenini Leo kucheza mchezo unaofuata wa Ligi Ya Shirikisho Africa CAFCC dhidi ya Cs Sfaxien ya Tunisia. Mchezo huo utapigwa Leo January 05, 2025 kwenye Uwanja wa stade Rades Tunis...
  4. Michezo Ya Leo January 05, 2025 Kilabu Bingwa Africa TotallyEnergyCAFCL 2024/2025

    Michezo Ya Leo January 05, 2025 Kilabu Bingwa Africa TotallyEnergyCAFCL 2024/2025

    Leo michezo mitatu itapigwa ya kukamilisha Ungwe ya Nne kunako Ligi Ya Mabingwa Africa CAFCL.
  5. Mohammed Dewji Wa Simba Sports Club Anamtaka Fei Toto

    Mohammed Dewji Wa Simba Sports Club Anamtaka Fei Toto

    Rais wa heshima na Mwenyekiti wa bodi ya wakurungezi wa klabu ya Simba, Mohamed Dewji 'Mo' amewasilisha ofa ya dola 300,000 (Zaidi ya milioni 730 za Kitanzania) Pamoja na Aishi Manula kwa maboss wa klabu ya Azam kwa ajili ya kumhitaji kiungo mshambuliaji wa klabu hiyo Feisal Salum 'Fei Toto'.
  6. Ratiba Ya Michezo Mitatu "3" Ijayo Yanga Kimataifa

    Ratiba Ya Michezo Mitatu "3" Ijayo Yanga Kimataifa

    1.YANGA vs TP MAZEMBE 🇨🇩 -JANUARY 4 KWA MKAPA Saa kumi Jioni 2.AL HILAL 🇸🇩 Vs YANGA - JANUARY 12 MAURITANIA 🇲🇷 Saa nne usiku 3.YANGA Vs MC ALGER 🇩🇿 - JANUARY 18 KWA MKAPA saa kumi Jioni Wananchi taarifa iwafikie kuwa hakuna mchezo wowote wa ligi mpaka michezo yenu yote ya kimataifa...
  7. Ratiba Ya Mapinduzi Cup 2025 Kuanza Januari 3

    Ratiba Ya Mapinduzi Cup 2025 Kuanza Januari 3

    Ratiba Ya Mapinduzi Cup 2025 Kuanza Januari 3. Michuano ya Mapinduzi 2025 kuanza kuchezwa Ijumaa hii katika dimba la Gombani Kisiwani Pemba. Hii hapa ratiba ya Mapinduzi cup Zanzibar 2025.
  8. Takwimu Za Pacome Mpaka Sasa Yanga

    Takwimu Za Pacome Mpaka Sasa Yanga

    Pacôme Zouzoua amehusika moja kwa moja katika mabao sita kwenye mechi zake tano za mwisho katika NBC Premier League. Vs. Namungo - ⚽ Vs. Mashujaa - 🅰️ Vs. Tanzania Prisons - 🅰️ Vs. Dodoma Jiji - 🅰️ Vs. Fountain Gate - ⚽⚽ Ndiye mchezaji wa tatu wa Young Africans kufunga mabao 5+ katika NBC...
  9. Kituo Kinachofuata Kwa Yanga SC ni CAFCL Dhidi Ya Tp Mazembe

    Kituo Kinachofuata Kwa Yanga SC ni CAFCL Dhidi Ya Tp Mazembe

    Wananchi baada ya kushinda michezo minne mfululizo ya ligi kuu sasa wanarejea kwenye michuano ya kimataifa. Ambapo ratiba inaonyesha kuwa Yanga Jumamosi hii January 4,2025 watawakaribisha TP Mazembe katika Uwanja wa Mkapa,Dar. Wanachi wenye pointi 1 tu wanasaka ushindi wao wa kwanza kwenye...
  10. Kikosi Cha Kilimanjaro Stars Kitakachoingia Kambini Kujiandaa Na Mapinduzi cup 2025

    Kikosi Cha Kilimanjaro Stars Kitakachoingia Kambini Kujiandaa Na Mapinduzi cup 2025

    Kikosi cha Kilimanjaro Stars kitakachoingia kambini kujiandaa na michezo ya Kombe la Mapinduzi Zanzibar 2025.
  11. Mchezo Umetamatika: Yanga 5 vs 0 Fountain Gate Nbc PL 2024/2025

    Mchezo Umetamatika: Yanga 5 vs 0 Fountain Gate Nbc PL 2024/2025

    Yanga walianza na mikakati sahihi , wakiwa na mpira 2-3-4-1 (Joba na Bacca wanakuwa nyuma then Aucho mbele yao “Pembe tatu shape” huku Kibwana na Boka wanakuwa mstari mmoja then Muda anasogea juu sawa na Aziz Ki , Pacome na Mzize …. Baada ya hapo matokeo yake yalikuwa ni nini ? Yanga walifanya...
  12. Beki Simba sports club Afunga Ndoa

    Beki Simba sports club Afunga Ndoa

    Beki wa Klabu ya Simba sports club, Valentine Nouma hapo juzi aliaga ukapera baada ya kufunga ndoa na mpenzi wake wa mda mrefu akiwa kwao Nchini Burkina Faso. Nouma alipata nafasi ya kusafiri kutoka Tanzania mpaka nchini Kwa Bukina Faso huku akiwa amepata baraka zote kutoka Kwa coach wake Fadlu...
  13. Kikosi cha YOUNG AFRICAN'S Vs SINGIDA FOG Leo Tarehe 29 Desemba 2024 NBC Premier League

    Kikosi cha YOUNG AFRICAN'S Vs SINGIDA FOG Leo Tarehe 29 Desemba 2024 NBC Premier League

    Kikosi Cha Young African's kinachoanza Dhidi ya Singida Fountain Gate
  14. Kikosi cha YOUNG AFRICAN'S Vs SINGIDA FOG Leo Tarehe 29 Desemba 2024 NBC PL

    Kikosi cha YOUNG AFRICAN'S Vs SINGIDA FOG Leo Tarehe 29 Desemba 2024 NBC PL

    KIKOSI Cha Young African's vs Singida Fountain Gate Leo 29 December 2024 Klabu ya Yanga itakuwa nyumbani Leo kucheza mchezo unaofuata wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Singida Fountain Gate . Mchezo huo utapigwa December 29, 2024 kwenye Uwanja wa KMC Complex Mkoani Dar es salaam. Kuelekea mchezo...
  15. Michezo Ya Leo Jumapili 29 December 2024.

    Michezo Ya Leo Jumapili 29 December 2024.

    Mechi za Leo Jumapili 29 December 2024 Tanzania – Premier League 16:00 Coastal Union vs Kinondoni MC 16:00 Young Africans vs Fountain Gate FC Tanzania – NBC Championship 16:00 Kiluvya FC vs African Sports England – Premier League 17:30 Leicester City vs Manchester City 18:00 Crystal Palace vs...
  16. Kwa Kagoma Simba sports club Wamepata Mtu

    Kwa Kagoma Simba sports club Wamepata Mtu

    Yusuph Kagoma ni miongoni mwa viungo wachache wazawa wanaofanya vizuri sana kwenye Ligi kuu Tanzania Bara hasa kwenye hizi klabu kubwa. Kagoma amekuwa nguzo kubwa na imara kwa klabu ya Simba jambo ambalo linampa urahisi zaidi kocha Fadlu wa kumtafuta pacha atakayecheza nae. Kumuweka benchi...
  17. Kikosi cha SIMBA SC Vs SINGIDA BS Leo Tarehe 28 Desemba 2024 NBC Premier League

    Kikosi cha SIMBA SC Vs SINGIDA BS Leo Tarehe 28 Desemba 2024 NBC Premier League

    Hiki hapa Kikosi cha SIMBA SC Vs SINGIDA BS Leo Tarehe 28 Desemba 2024 NBC Premier League
  18. Kuelekea Mchezo Wa Leo December 28, 2024: Singida black star vs Simba sports club Nbc PL 2024/2025

    Kuelekea Mchezo Wa Leo December 28, 2024: Singida black star vs Simba sports club Nbc PL 2024/2025

    Mechi ya leo kwa Simba ni moja kati ya mechi ngumu sana msimu huu,wanakutana na timu bora sana kiwanjan Nje ya uwanja wapinzani wanaamini kwa trend ya matokeo ya Simba hivi karibuni hii mechi wanakwenda kupoteza! Changamoto kwa Nswanzurimo ni game approach kwenye huu mchezo, akipokea maelekezo...
  19. Mapumziko: Simbasc 0 vs 0 Jkt Tanzania, Nbc Premium league 2024/2025

    Mapumziko: Simbasc 0 vs 0 Jkt Tanzania, Nbc Premium league 2024/2025

  20. Takwimu Za Simba sports club Hadi Leo Tarehe 18 December Kwenye Ligi Kuu Nbc Tanzania 2024/2025.

    Takwimu Za Simba sports club Hadi Leo Tarehe 18 December Kwenye Ligi Kuu Nbc Tanzania 2024/2025.

    SIMBA SPORTS CLUB KATIKA LIGI KUU MPAKA SASA ➡️ROUND 12.✅ ⚽ WAFUNGAJI BORA 🇨🇲Leonel Ateba - 5 🇨🇮Jean Charles Ahoua - 5 🇹🇿Valentino Mashaka - 2 🇺🇬Desse Mukwala - 2 🇨🇲Che Melone - 2 🇹🇿Awesu Awesu - 2 🇹🇿Edwin Balua - 2 🇨🇩Fabrice Ngoma - 1 🇨🇬Debora Fernandez - 1 🇹🇿Shomari Kapombe - 1 🇹🇿Mohammed...
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom