Takwimu Za Pacome Mpaka Sasa Yanga

Takwimu Za Pacome Mpaka Sasa Yanga

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Pacôme Zouzoua amehusika moja kwa moja katika mabao sita kwenye mechi zake tano za mwisho katika NBC Premier League.

Vs. Namungo - ⚽
Vs. Mashujaa - 🅰️
Vs. Tanzania Prisons - 🅰️
Vs. Dodoma Jiji - 🅰️
Vs. Fountain Gate - ⚽⚽
FB_IMG_1735548181659.webp


Ndiye mchezaji wa tatu wa Young Africans kufunga mabao 5+ katika NBC Premier League msimu huu.

⚽ 6 — Walid Mzize
⚽ 5 — Price Dube
⚽ 5 — Pacôme Zouzoua

Timu zenye wachezaji wengi zaidi waliofunga mabao matano ama zaidi katika ligi 2024|25.

◉ 3 — Young Africans
◎ 2 — Simba Sports Club
◎ 2 — Fountain Gate
 
Back
Top Bottom