nbc pl

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. TAKWIMU ZA MWAKA MZIMA WA 2024 KATIKA NBC PREMIER LEAGUE

    TAKWIMU ZA MWAKA MZIMA WA 2024 KATIKA NBC PREMIER LEAGUE

    𝙏𝘼𝙆𝙒𝙄𝙈𝙐 𝙕𝘼 𝙈𝙒𝘼𝙆𝘼 2024. Timu zilizoshinda alama (points) nyingi : ◉ 89 — Young Africans ◉ 86 — Simba Sports Club ◉ 74 — Azam FC ◉ 56 — Singida B.S Timu zilizoshinda michezo mingi : ◉ 29 — Young Africans ◉ 27 — Simba Sports Club ◉ 22 — Azam FC ◉ 16 — Singida B.S Timu zilizopoteza...
  2. Mchezo Umetamatika: Yanga 5 vs 0 Fountain Gate Nbc PL 2024/2025

    Mchezo Umetamatika: Yanga 5 vs 0 Fountain Gate Nbc PL 2024/2025

    Yanga walianza na mikakati sahihi , wakiwa na mpira 2-3-4-1 (Joba na Bacca wanakuwa nyuma then Aucho mbele yao “Pembe tatu shape” huku Kibwana na Boka wanakuwa mstari mmoja then Muda anasogea juu sawa na Aziz Ki , Pacome na Mzize …. Baada ya hapo matokeo yake yalikuwa ni nini ? Yanga walifanya...
  3. Siku Ya Mchezo: Young African's vs Singida Fountain Gate Leo 29 December Nbc PL 2024/2025.

    Siku Ya Mchezo: Young African's vs Singida Fountain Gate Leo 29 December Nbc PL 2024/2025.

    Leo Jumapili ya mwisho Kwa Mwaka huu 2024, itakwenda kushereheshwa na mechi kubwa kabisa ya Ligi kuu Nbc PL Tanzania kati ya Mabingwa watetezi na wawakirishi pekee wa Tanzania kunako michuano ya kilabu bingwa Africa CAFCL, Yanga Dhidi ya Singida Fountain Gate katika uwanja wa KMC Complex Dar es...
  4. Mousa PinPin Camara Goalkeeper Wa Simba sports club

    Mousa PinPin Camara Goalkeeper Wa Simba sports club

    Msimu uliopita Vumi Ley Matampi alitwaa Tuzo ya golikipa bora akiwa na Cleen sheet 15 kwenye mechi 24 za Nbc PL alizosimama langoni. Msimu huu 2024/2025 Moussa Pinpin Camara tayari ana cleen sheet 12 mzunguko wa kwanza tu... (mechi 15) Amebakiza Cleen sheet 3 kuifikia rekodi ya Matampi...
  5. Kikosi cha SIMBA SC Vs SINGIDA BS Leo Tarehe 28 Desemba 2024 NBC Premier League

    Kikosi cha SIMBA SC Vs SINGIDA BS Leo Tarehe 28 Desemba 2024 NBC Premier League

    Hiki hapa Kikosi cha SIMBA SC Vs SINGIDA BS Leo Tarehe 28 Desemba 2024 NBC Premier League
  6. Kuelekea Mchezo Wa Leo December 28, 2024: Singida black star vs Simba sports club Nbc PL 2024/2025

    Kuelekea Mchezo Wa Leo December 28, 2024: Singida black star vs Simba sports club Nbc PL 2024/2025

    Mechi ya leo kwa Simba ni moja kati ya mechi ngumu sana msimu huu,wanakutana na timu bora sana kiwanjan Nje ya uwanja wapinzani wanaamini kwa trend ya matokeo ya Simba hivi karibuni hii mechi wanakwenda kupoteza! Changamoto kwa Nswanzurimo ni game approach kwenye huu mchezo, akipokea maelekezo...
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom