sekretarieti ya ajira

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. MATOKEO YA USAILI AJIRA PORTAL WA KUANDIKA ULIOFANYIKA TAREHE 04/01/2025

    MATOKEO YA USAILI AJIRA PORTAL WA KUANDIKA ULIOFANYIKA TAREHE 04/01/2025

    Haya hapa matokeo ya usaili Ajira Portal wa kuandika ulifanyika tarehe jana tarehe 04/01/2025 Sekretarieti ya Ajira Utumishi Wasailiwa wote waliochaguliwa (SELECTED) wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la usaili. Wasailiwa wote wanakumbushwa kufika na vyeti vyao halisi (Original Certificates)...
  2. Vitu vya kuzingaia unapokwenda kwenye Usaili Ajira Portal

    Vitu vya kuzingaia unapokwenda kwenye Usaili Ajira Portal

    Hivi hapa Vitu vya kuzingaia unapokwenda kwenye Usaili Ajira Portal katika saili mbalimbali zinazofanyishwa na Sekreatrieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa kada zote.
  3. Nafasi za kazi 73 Wizara ya Ardhi December 2024

    Nafasi za kazi 73 Wizara ya Ardhi December 2024

    Wananchi, Hizi hapa Nafasi za kazi 73 Wizara ya Ardhi December 2024 zilizo tangazwa kwa watanzania wote wenye siffa, nia, ari na vigezo vyote waweze kutuma maombi kuanzia siku ya leo zilizo tangazwa na Sekretarieti ya Ajira kupitia Utumishi wa Umma Ajira portal. Wizara ya Ardhi ilianzishwa kama...
  4. Nafasi za kazi 5 Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC) December 2024

    Nafasi za kazi 5 Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC) December 2024

    Nafasi za kazi 5 Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC) December 2024, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) inakaribisha Watanzania wenye uwezo, ari, uzoefu, na sifa zinazostahili kujaza nafasi tano (5) za ajira. Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC)...
  5. Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) Nafasi za kazi Zilizo Tangazwa

    Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) Nafasi za kazi Zilizo Tangazwa

    Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) ni chombo muhimu cha serikali kilichoundwa kusaidia mchakato wa kuajiri wafanyakazi wenye ujuzi, sifa, na weledi unaohitajika katika sekta ya umma. Kwa kuwa ni chombo huru, PSRS inahakikisha mchakato wa ajira unafuata viwango vya uwazi, usawa...
  6. Matokeo ya Usaili wa kuandika Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) December 2024

    Matokeo ya Usaili wa kuandika Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) December 2024

    Wananchi, Haya hapa Matokeo ya Usaili wa kuandika Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) December 2024 yaliyo tangazwa na Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma. Wasailiwa wote waliochaguliwa (SELECTED) wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la usaili. Wasailiwa wote wanakumbushwa kufika na...
  7. Matokeo ya Usaili wa Vitendo UDSM, TMA December 2024

    Matokeo ya Usaili wa Vitendo UDSM, TMA December 2024

    Haya hapa Matokeo ya Usaili wa Vitendo UDSM, TMA December 2024 kutoka Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma. Wasailiwa wote waliochaguliwa (SELECTED) wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la usaili, Wasailiwa wote wanakumbushwa kufika na vyeti vyao halisi (Original Certificates) Wasailiwa...
  8. KUITWA KAZINI KADA ZA AFYA NA TAASISI MBALIMBALI 5 DESEMBA 2024

    KUITWA KAZINI KADA ZA AFYA NA TAASISI MBALIMBALI 5 DESEMBA 2024

    TANGAZO LA KUITWA KAZINI Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 03-09-2024 na tarehe 11-09-2024 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili yatatolewa hivi karibuni. Orodha ya wagombea...
  9. Ajira Mpya 13 Benki Kuu ya Tanzania (BOT) December 2024 | Nafasi za kazi za Kuhamia

    Ajira Mpya 13 Benki Kuu ya Tanzania (BOT) December 2024 | Nafasi za kazi za Kuhamia

    Wanannchi, Hizi hapa Ajira Mpya 13 Benki Kuu ya Tanzania (BOT) December 2024. Benki Kuu ya Tanzania, ambayo ni Benki Kuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ilianzishwa kupitia Sheria ya Benki Kuu ya Tanzania ya mwaka 1965 na kuanza rasmi kazi tarehe 14 Juni 1966. Katika miaka iliyopita, sheria...
  10. Matokeo ya Usaili wa kuandika Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU) December 2024

    Matokeo ya Usaili wa kuandika Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU) December 2024

    HAYA HAPA MATOKEO YA USAILI WA VITENDO CHUO KIKUU CHA USHIRIKA MOSHI NA CHUO CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI ULIOFANYIKA TAREHE 04/12/2024 KUTOKA SEKRETARIETI YA AJIRA KUPITIA UTUMISHI WA UMMA. Mwongozo: Wasailiwa wote waliochaguliwa (SELECTED) wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la usaili, Wasailiwa...
  11. Matokeo ya Usaili Utumishi | Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU)

    Matokeo ya Usaili Utumishi | Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU)

    HAYA HAPA MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA CHUO KIKUU CHA USHIRIKA MOSHI (MoCU) ULIOFANYIKA TAREHE 03/12/2024 KUTOKA SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA.
  12. Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili IAE, MNMA December 2024

    Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili IAE, MNMA December 2024

    Hii hapa Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili IAE, MNMA December 2024 PDF. Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (IAE), Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (MNMA) anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa...
  13. Nafasi za kazi DUCE Desemba 2024 | Ajira mpya Chuo Shirikishi cha Elimu Dar es Salaam

    Nafasi za kazi DUCE Desemba 2024 | Ajira mpya Chuo Shirikishi cha Elimu Dar es Salaam

    Hizi hapa Nafasi za kazi 11 kutoka DUCE Desemba 2024 | Ajira mpya Chuo Shirikishi cha Elimu Dar es Salaam, zilizo tangazwa kupitia Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma leo kwa watanzania wote wenye sifa waweze kutuma maombi. Pakua PDF hapa chini, kama una swali unauliza uliza hapo...
  14. Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Utumishi Nyongeza December 2024

    Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Utumishi Nyongeza December 2024

    Hii hapa Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Utumishi Nyongeza December 2024. Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI),, Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Taasisi ya Elimu Tanzania (TIE) anapenda kuwataarifu...
  15. Orodha ya Majina ya Walioitwa kazini Utumishi Nyongeza December 2024

    Orodha ya Majina ya Walioitwa kazini Utumishi Nyongeza December 2024

    Hii hapa Orodha ya Majina ya Walioitwa kazini Utumishi Nyongeza December 2024. Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI),, Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Taasisi ya Elimu Tanzania (TIE) anapenda kuwataarifu Waombaji...
  16. G

    Nafasi za Mhudumu wa Jikoni Kutoka Manispaa ya Iringa November 2024

    Hizi hapa Nafasi za Mhudumu wa Jikoni Kutoka Manispaa ya Iringa November 2024 zilizo tangazwa kupitia Sekretarieti ya Ajira kutpitia Utumishi wa Umma. Bonyeza hapa kutuma maombi
  17. G

    Nafasi 20 za kazi Assistant Customer Service Officer II TAA November 2024

    Kwa niaba ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inakaribisha Watanzania wenye sifa na uwezo unaohitajika kuomba nafasi kumi (10) za kazi zilizotajwa hapa chini. NAFASI: MSAIDIZI WA HUDUMA KWA WATEJA DARAJA LA II – NAFASI 10 MWAJIRI...
  18. G

    Ajira Nafasi 105 za Kazi Kutoka Ajira Portal na Utumishi Novemba 2024 | NBS, DIT, IAA 08 Novemba 2024

    Kwa niaba ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS), Taasisi ya Uhasibu Arusha, Wizara ya Maji, na Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT), Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inawaalika Watanzania wenye sifa zinazofaa, walio na uzoefu, ari na mwamko kujaza nafasi za kazi mia moja na tano...
  19. G

    Ajira Majina ya Walioitwa Kazini Utumishi na Ajira Portal | Manispaa ya Sumbawanga | Mji Newala 08 Novemba 2024

    Hii hapa orodha ya Majina ya Walioitwa Kazini Utumishi na Ajira Portal | Manispaa ya Sumbawanga | Mji Newala Tangazo la Matokeo ya Usaili kwa Waombaji Kazi PSRS 2024.
  20. G

    PDF Matokeo ya Usaili Ajira Portal na Utumishi | TBC, Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) 20241108

    Haya hapa Matokeo ya Usaili Ajira Portal na Utumishi | TBC, Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) yaliyo tangazwa na Sekretarieti ya Ajira Tanzania uliofanyika tarehe 5 mpaka tarehe 6 Novemba 2024, orodha kamili ya majina ya waliotwa kufanya usaili wa kuandika yapo chini. Matokeo ya usaili yaliyo...
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom