Haya hapa matokeo ya usaili Ajira Portal wa kuandika ulifanyika tarehe jana tarehe 04/01/2025
Sekretarieti ya Ajira Utumishi
Wasailiwa wote waliochaguliwa (SELECTED) wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la usaili.
Wasailiwa wote wanakumbushwa kufika na vyeti vyao halisi (Original Certificates)...
Hivi hapa Vitu vya kuzingaia unapokwenda kwenye Usaili Ajira Portal katika saili mbalimbali zinazofanyishwa na Sekreatrieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa kada zote.
Wananchi, Hizi hapa Nafasi za kazi 73 Wizara ya Ardhi December 2024 zilizo tangazwa kwa watanzania wote wenye siffa, nia, ari na vigezo vyote waweze kutuma maombi kuanzia siku ya leo zilizo tangazwa na Sekretarieti ya Ajira kupitia Utumishi wa Umma Ajira portal.
Wizara ya Ardhi ilianzishwa kama...
ajiraajira mpya wizara ya ardhi
ajira portal
ajira wizara ya ardhi
nafasi za kazi
nafasi za kazi ajira portal
nafasi za kazi wizara ya ardhi
sekretarietiyaajira
utumishi
wizara ya ardhi
Nafasi za kazi 5 Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC) December 2024, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) inakaribisha Watanzania wenye uwezo, ari, uzoefu, na sifa zinazostahili kujaza nafasi tano (5) za ajira.
Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC)...
aicc
ajiraajira aicc
ajira mpya
ajira mpya aicc
ajira tanzania
kituo cha kimataifa cha mikutano cha arusha
nafasi za kazi
nafasi za kazi aicc
sekretarietiyaajira
Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) ni chombo muhimu cha serikali kilichoundwa kusaidia mchakato wa kuajiri wafanyakazi wenye ujuzi, sifa, na weledi unaohitajika katika sekta ya umma. Kwa kuwa ni chombo huru, PSRS inahakikisha mchakato wa ajira unafuata viwango vya uwazi, usawa...
Wananchi, Haya hapa Matokeo ya Usaili wa kuandika Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) December 2024 yaliyo tangazwa na Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma. Wasailiwa wote waliochaguliwa (SELECTED) wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la usaili. Wasailiwa wote wanakumbushwa kufika na...
Haya hapa Matokeo ya Usaili wa Vitendo UDSM, TMA December 2024 kutoka Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma. Wasailiwa wote waliochaguliwa (SELECTED) wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la usaili, Wasailiwa wote wanakumbushwa kufika na vyeti vyao halisi (Original Certificates) Wasailiwa...
TANGAZO LA KUITWA KAZINI
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 03-09-2024 na tarehe 11-09-2024 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili yatatolewa hivi karibuni. Orodha ya wagombea...
afya
ajira portal
ajira za afya
kuitwa kazini
kuitwa kazini ajira portal
kuitwa kazini utumishi
nafasi za kazi
psrs
sekretarietiyaajira
utumishi
walioitwa kazini afya
Wanannchi, Hizi hapa Ajira Mpya 13 Benki Kuu ya Tanzania (BOT) December 2024. Benki Kuu ya Tanzania, ambayo ni Benki Kuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ilianzishwa kupitia Sheria ya Benki Kuu ya Tanzania ya mwaka 1965 na kuanza rasmi kazi tarehe 14 Juni 1966. Katika miaka iliyopita, sheria...
HAYA HAPA MATOKEO YA USAILI WA VITENDO CHUO KIKUU CHA USHIRIKA MOSHI NA CHUO CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI ULIOFANYIKA TAREHE 04/12/2024 KUTOKA SEKRETARIETI YA AJIRA KUPITIA UTUMISHI WA UMMA.
Mwongozo: Wasailiwa wote waliochaguliwa (SELECTED) wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la usaili, Wasailiwa...
ajira portal
chuo kikuu cha ushirika moshi
matokeo ya usaili mocu
matokeo ya usaili utumishi
mocu
sekretarietiyaajira
usaili
usaili ajira portal
utumishi
HAYA HAPA MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA CHUO KIKUU CHA USHIRIKA MOSHI (MoCU) ULIOFANYIKA TAREHE 03/12/2024 KUTOKA SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA.
Hii hapa Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili IAE, MNMA December 2024 PDF. Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (IAE), Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (MNMA) anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa...
Hizi hapa Nafasi za kazi 11 kutoka DUCE Desemba 2024 | Ajira mpya Chuo Shirikishi cha Elimu Dar es Salaam, zilizo tangazwa kupitia Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma leo kwa watanzania wote wenye sifa waweze kutuma maombi.
Pakua PDF hapa chini, kama una swali unauliza uliza hapo...
Hii hapa Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Utumishi Nyongeza December 2024. Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI),, Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Taasisi ya Elimu Tanzania (TIE) anapenda kuwataarifu...
Hii hapa Orodha ya Majina ya Walioitwa kazini Utumishi Nyongeza December 2024. Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI),, Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Taasisi ya Elimu Tanzania (TIE) anapenda kuwataarifu Waombaji...
Hizi hapa Nafasi za Mhudumu wa Jikoni Kutoka Manispaa ya Iringa November 2024 zilizo tangazwa kupitia Sekretarieti ya Ajira kutpitia Utumishi wa Umma.
Bonyeza hapa kutuma maombi
Kwa niaba ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inakaribisha Watanzania wenye sifa na uwezo unaohitajika kuomba nafasi kumi (10) za kazi zilizotajwa hapa chini.
NAFASI: MSAIDIZI WA HUDUMA KWA WATEJA DARAJA LA II – NAFASI 10
MWAJIRI...
Kwa niaba ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS), Taasisi ya Uhasibu Arusha, Wizara ya Maji, na Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT), Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inawaalika Watanzania wenye sifa zinazofaa, walio na uzoefu, ari na mwamko kujaza nafasi za kazi mia moja na tano...
Hii hapa orodha ya Majina ya Walioitwa Kazini Utumishi na Ajira Portal | Manispaa ya Sumbawanga | Mji Newala Tangazo la Matokeo ya Usaili kwa Waombaji Kazi PSRS 2024.
Haya hapa Matokeo ya Usaili Ajira Portal na Utumishi | TBC, Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) yaliyo tangazwa na Sekretarieti ya Ajira Tanzania uliofanyika tarehe 5 mpaka tarehe 6 Novemba 2024, orodha kamili ya majina ya waliotwa kufanya usaili wa kuandika yapo chini.
Matokeo ya usaili yaliyo...