simba mnyama

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. Takwimu Za Jean Charles Ahoua Hadi Sasa Kombe La Shirikisho Africa TotalEnergiesCAFCC 2024/2025

    Takwimu Za Jean Charles Ahoua Hadi Sasa Kombe La Shirikisho Africa TotalEnergiesCAFCC 2024/2025

    Jean Charles Ahoua kwenye kombe la shirikisho Afrika, amehusika kwenye magoli manne (04) hadi hivi sasa. Ametoa pasi za magoli (02) huku akifunga magoli mawili hadi hivi sasa 🔥 kwenye eneo la takwimu jamaa ni hatari sana 🙌 Remember the name : Jean Charles Ahoua ✅
  2. Mapumziko: Cs Sfaxien 0 vs 1 Simbasc TotalEnergiesCAFCC 2024/2025

    Mapumziko: Cs Sfaxien 0 vs 1 Simbasc TotalEnergiesCAFCC 2024/2025

    𝐌𝐂𝐇𝐄𝐙𝐎 𝐍𝐈 𝐌𝐀𝐏𝐔𝐌𝐙𝐈𝐊𝐎 Well done Lunyasi dakika 45 bora mmecheza 👏 mikakati sahihi timu ikiwa na mipira (pasi sahihi za mbele na uharaka kwenye matukio muhimu ✅) Goli limehusisha pasi tatu tu!.. hawa Cs Sfaxien ni kama wamepoteana hivi hasa wakifika kwenye nusu ya Simba wanakuwa na idadi ndogo...
  3. Kikosi Cha Simbasc vs Cs Sfaxien Leo January 05, 2025 TotallyEnergyCAFCC 2024/2025

    Kikosi Cha Simbasc vs Cs Sfaxien Leo January 05, 2025 TotallyEnergyCAFCC 2024/2025

    KIKOSI Cha Simba Sports Club Dhidi Ya Cs Sfaxien Leo January 05, 2025 TotallyEnergyCAFCC Klabu ya Simba itakuwa ugenini Leo kucheza mchezo unaofuata wa Ligi Ya Shirikisho Africa CAFCC dhidi ya Cs Sfaxien ya Tunisia. Mchezo huo utapigwa Leo January 05, 2025 kwenye Uwanja wa stade Rades Tunis...
  4. Takwimu Za Simba Sports Club Michezo Ya Ugenini CAF

    Takwimu Za Simba Sports Club Michezo Ya Ugenini CAF

    SIMBA 🇹🇿 wakiwa Ugenini mechi 5 za mwisho CAF ❌ Wydad 1-0 Simba 🤝 Asec 0-0 Simba ❌ Al Ahly 2-0 Simba 🤝 Ahli Tripoli 0-0 Simba ❌ Constatine 2-1 Simba Leo Vs Cs sfaxien..?
  5. Michezo Ya Leo January 05, 2025 TotallyEnergyCAFCC 2024/2025

    Michezo Ya Leo January 05, 2025 TotallyEnergyCAFCC 2024/2025

    Michezo ya leo Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC)
  6. Ahmed Ally Wa Simba Leo Afikisha Miaka Mitatu Ndani Ya Simba Sports Club.

    Ahmed Ally Wa Simba Leo Afikisha Miaka Mitatu Ndani Ya Simba Sports Club.

    Januari 3 2025 CEO wa Simba SC wakati huo, Madam Babra Gonzalez alimuajiri Ahmed Ally kama Meneja wa habari na mawasiliano wa Klabu Leo ni miaka mitatu Ahmed Ally amekua kipenzi cha Wanachama na mashabiki wa Simba Sports Club Hongera Babra kwa zawadi hii Kwa wanalunyasi Simba sports club.
  7. Mpanzu Sasa Kuitumikia Simba sports club Katika Michuano Ya Shirikisho Africa CAFCC

    Mpanzu Sasa Kuitumikia Simba sports club Katika Michuano Ya Shirikisho Africa CAFCC

    Klabu ya Simba SC imefanikiwa kumsajili kwenye mfumo wa CAF winga wao mpya Ellie Mpanzu na sasa nyota huyo anaruhusiwa kuichezea Simba kwenye mechi za kombe la shirikisho (CAF Confederation Cup) na ataanza jumapili January 05, dhidi ya CS Sfaxien ya Tunisia mchezo utaochezwa majira ya saa 1:00...
  8. Simba sports club safarini Leo Tarehe 19 December 2024 Kuwakabili Kagera Sugar.

    Simba sports club safarini Leo Tarehe 19 December 2024 Kuwakabili Kagera Sugar.

    Kikosi cha Simba sports club kinaondoka leo saa tano asubuhi kuelekea Bukoba, Kagera kwa ajili ya mchezo dhidi ya Kagera Sugar, utakaopigwa jumamosi ya Desemba 2, 2024. Baada ya mechi jana wachezaji waliruhusiwa kurudi nyumbani kwao kwaajili ya mapumziko na Sasa wamewasili kambini tayari Kwa...
  9. Mabadiliko Ya Ratiba Za Simba NBC

    Mabadiliko Ya Ratiba Za Simba NBC

    Mchezo namba 125 wa ligi kuu ya NBC kati ya Tabora United dhidi ya Simba SC uliokuwa uchezwe December 28 umeondolewa kwenye ratiba na utapangiwa tarehe nyingine sababu kubwa ya mchezo huo kuondolewa kwenye ratiba Simba kuanza mzunguko wa pili huku ikiwa na mchezo wa raundi ya kwanza haujachezwa...
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom