uhamiaji

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. Y

    Msaada wa kujisajili uhamiaji portal

    Naomba msaada mm niki login inaandika successful. Ila profile picture haionekani kwajili ya ku-upload vyeti.
  2. Y

    MSAADA NAMNA YA KUINGIA KWENYE ACCOUNT KWENYE PORTAL YA UHAMIAJI

    Habari, Naomba msaada namna ya kuingia kwenye portal ya Uhamiaji ikiwa nilifungua account na nikasahau neno la siri na sikufika kwenye hatua ya kuthibitisha Email . Na nilipo jaribu kuwatafuta juu ya hili mwanzo waliniambia kwamba account yangu tayari ilikua imepewa namba ya Msimbo kwa Email...
  3. Y

    CHANGAMOTO AJIRA ZA UHAMIAJI

    Habari, Ninashindwa kujaza kwenye kipegele cha form four ( inaniletea majibu ya information mismatch baada ya kujaza) Majina ya cheti cha kuzaliwa (na NIDA) yanatofautiana na cheti cha form four(na vyeti vyote vya taaluma) nikahisi ndo sababu japo kwingine ninatumia DEED POLL. Naomba msaada kama...
  4. Mwongozo wa kutuma maombi Ajira za Uhamiaji 2024/2025 | Mfumo wa Ajira Immigration

    Mwongozo wa kutuma maombi Ajira za Uhamiaji 2024/2025 | Mfumo wa Ajira Immigration

    Mwongozo wa kutuma maombi Ajira za Uhamiaji 2024/2025 | Mfumo wa Ajira Immigration. Mwombaji anatakiwa kuambatisha nyaraka kwenye mfumo wa Ajira kwa kutumia format ya PDF na picha ya mwombaji (passport size) katika format ya jpg/png. Kila nyaraka moja isizidi ukubwa wa 300Kb. Orodha ya Nyaraka...
  5. G

    Nafasi za kazi Uhamiaji | Ajira Mpya Idara ya Uhamiaji November 2024

    TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI – IDARA YA UHAMIAJI Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, kwa mamlaka aliyopewa chini ya Kanuni Na. 11(1) ya Kanuni za Uendeshaji za Uhamiaji za Mwaka 2018, anatangaza nafasi za ajira kwa vijana wa Kitanzania katika Idara ya Uhamiaji. Nafasi hizi ni za Askari wa Uhamiaji...
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom