KIKOSI Cha Simba SC vs Singida Black Stars Leo 28 December 2024
Klabu ya Simba SC itakuwa ugenini kucheza mchezo unaofuata wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Singida Black Stars FC.
Mchezo huo utapigwa December 28, 2024 kwenye Uwanja wa Liti Mkoani Singida.
Kuelekea mchezo huo, Wananchiforum...
Leo saa 10 jioni kikosi Cha Simba sports club kitashuka katika Uwanja wa KMC Complex kuikabili JKT Tanzania katika muendeleo wa Ligi Kuu ya NBC.
Hapana shaka mchezo wa leo utakuwa mgumu kutokana na JKT kuundwa na nyota wengi wazoefu ambao walicheza kwenye kikosi cha Simba sports club kwa nyakati...
Hii hapa Ratiba ya Mechi za Leo Jumanne 24 December 2024
Tanzania – NBC Premier League
14:00 Singida Black Stars vs KenGold
16:15 Simba SC vs JKT Tanzania
Ivory Coast – Ligue 1
18:30 ASEC Mimosas vs AS Denguele
18:30 Club Omnisports de Korhogo vs Stade D’abidjan
Egypt – Premier League
18:00...
Mchezo ulianza kwa timu zote kufanya makosa yanayofanana : kila timu walipoteza mipira kirahisi “Pass” lakini Yanga quality imeamua mchezo.
Yanga na 4-2-3-1 kama kawaida yao lakini wakiwa na mali wanabadilika na kuwa 2-4-3-1 (Job na Bacca wanakuwa nyuma ya Aucho na Muda + Kibwana na Kibabage...
Klabu ya Young Africans itacheza mchezo unaofuata dhidi ya Tanzania Prisons FC, ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuu ya NBC.
Mchezo huo unatarajiwa kupigwa tarehe 22 December 2024 kwenye Uwanja wa KMC Complex, Jijini Dar Es Salaam Kuanzia saa 10:00 jioni.
Ramovic kama kawaida yake na 4-2-3-1 , wakiwa na umiliki wa mpira wanaswitch na kuwa 2-3-2-3 (CBs wawili nyuma then Kibwana na Yao wanasogea juu mstari mmoja na Aucho huku Duke na Aziz Ki kama namba 10 wawili nyuma ya Pacome , Mzize na Dube walitengeneza uwiano mzuri eneo la mbele wakiwa na...
Simba walimaliza game kipindi cha kwanza , walikuwa bora kwenye kila eneo (Wakiwa na mpira na wasipokuwa na mpira ….. Nafikiri ni wao tu kuwa na utulivu eneo la mwisho walitengeneza nafasi nyingi sana .
Kipindi cha pili , Fadlu Davids aliamua kuifunga game (Fabrice & Mzamiru Out then Kagoma na...
ligi kuu tanzania
matokeo ya mechi ya simba sc vs ken gold
msimamo wa ligi kuu nbc tanzania
revo sports
simba sc vs ken gold
simba sports club
wananchiforum
Klabu ya Wekundu wa Msimbazi Simba inafuatilia kwa karibu kiwango cha Allan Okello (24) mchezaji wa Klabu Vipers inayoshiriki Ligi kuu Nchini Uganda.
Okello, ni miongoni mwa vijana waliojaliwa kipaji kwani huwa anaitwa na kianza kwenye kikosi cha kwanza cha Uganda Cranes licha ya Timu hiyo kuwa...
nbc transfer news
simba sports club transfer
tetesi za usajiri dirisha dogo 2024
tetesi za usajiri ligi kuu
usajiri msimbazi
usajiri yanga
wananchiforum
young african transfer
Mchezo umetamatika Kwa suruhu ya Goli Moja kwa Moja.
Hamna mbabe Kwa mwenzake, Orlando pirates wanakwenda kushika nafasi ya kwanza na points tano "5" michezo mitatu "3"wakifatiwa na Al Ahly (Misri) mwenye alama nne "4" na michezo miwili "2" huku Stade D'Abidjan akiburuza mkia na alama Moja "1"...
Hili hapa tangazo la Nafasi za Kazi Binti Africa Group November 2024 lililo tangazwa siku ya leo kwa watanzania wote wenye nia, ari na sifa waweze kutuma maombi mpaka tarehe 10 Desemba 2024.
Kama unataka kusaidiwa kutuma maombi ajira zozote au kuuliza swali jisajili hapa kisha uliza swali lako