wananchiforum

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. Kikosi cha SIMBA SC Vs SINGIDA BS Leo Tarehe 28 Desemba 2024 NBC PL

    Kikosi cha SIMBA SC Vs SINGIDA BS Leo Tarehe 28 Desemba 2024 NBC PL

    KIKOSI Cha Simba SC vs Singida Black Stars Leo 28 December 2024 Klabu ya Simba SC itakuwa ugenini kucheza mchezo unaofuata wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Singida Black Stars FC. Mchezo huo utapigwa December 28, 2024 kwenye Uwanja wa Liti Mkoani Singida. Kuelekea mchezo huo, Wananchiforum...
  2. Siku Ya Mchezo: Simbasc vs Jkt Tanzania Leo 24 December 2024, Nbc Premium league.

    Siku Ya Mchezo: Simbasc vs Jkt Tanzania Leo 24 December 2024, Nbc Premium league.

    Leo saa 10 jioni kikosi Cha Simba sports club kitashuka katika Uwanja wa KMC Complex kuikabili JKT Tanzania katika muendeleo wa Ligi Kuu ya NBC. Hapana shaka mchezo wa leo utakuwa mgumu kutokana na JKT kuundwa na nyota wengi wazoefu ambao walicheza kwenye kikosi cha Simba sports club kwa nyakati...
  3. Michezo Ya Leo Jumanne 24 December 2024

    Michezo Ya Leo Jumanne 24 December 2024

    Hii hapa Ratiba ya Mechi za Leo Jumanne 24 December 2024 Tanzania – NBC Premier League 14:00 Singida Black Stars vs KenGold 16:15 Simba SC vs JKT Tanzania Ivory Coast – Ligue 1 18:30 ASEC Mimosas vs AS Denguele 18:30 Club Omnisports de Korhogo vs Stade D’abidjan Egypt – Premier League 18:00...
  4. Uchambuzi Mechi Ya Yanga vs Tanzania Prison's Leo 22 December 2024

    Uchambuzi Mechi Ya Yanga vs Tanzania Prison's Leo 22 December 2024

    Mchezo ulianza kwa timu zote kufanya makosa yanayofanana : kila timu walipoteza mipira kirahisi “Pass” lakini Yanga quality imeamua mchezo. Yanga na 4-2-3-1 kama kawaida yao lakini wakiwa na mali wanabadilika na kuwa 2-4-3-1 (Job na Bacca wanakuwa nyuma ya Aucho na Muda + Kibwana na Kibabage...
  5. Kikosi Cha Yanga vs Tanzania Prison's Leo 22 December 2024

    Kikosi Cha Yanga vs Tanzania Prison's Leo 22 December 2024

    Klabu ya Young Africans itacheza mchezo unaofuata dhidi ya Tanzania Prisons FC, ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Mchezo huo unatarajiwa kupigwa tarehe 22 December 2024 kwenye Uwanja wa KMC Complex, Jijini Dar Es Salaam Kuanzia saa 10:00 jioni.
  6. Magazeti Ya Michezo Leo Jumapili 22 December 2024

    Magazeti Ya Michezo Leo Jumapili 22 December 2024

    Haya Hapa Magazeti Ya Mchezo ya Tanzania Leo Jumapili 22 December 2024
  7. Uchambuzi Mechi Ya Yanga 3 vs 2 Mashujaa Fc Leo 19 December 2024

    Uchambuzi Mechi Ya Yanga 3 vs 2 Mashujaa Fc Leo 19 December 2024

    Ramovic kama kawaida yake na 4-2-3-1 , wakiwa na umiliki wa mpira wanaswitch na kuwa 2-3-2-3 (CBs wawili nyuma then Kibwana na Yao wanasogea juu mstari mmoja na Aucho huku Duke na Aziz Ki kama namba 10 wawili nyuma ya Pacome , Mzize na Dube walitengeneza uwiano mzuri eneo la mbele wakiwa na...
  8. Uchambuzi, Mechi Ya Simba vs Ken Gold Leo Tarehe 18 December 2024

    Uchambuzi, Mechi Ya Simba vs Ken Gold Leo Tarehe 18 December 2024

    Simba walimaliza game kipindi cha kwanza , walikuwa bora kwenye kila eneo (Wakiwa na mpira na wasipokuwa na mpira ….. Nafikiri ni wao tu kuwa na utulivu eneo la mwisho walitengeneza nafasi nyingi sana . Kipindi cha pili , Fadlu Davids aliamua kuifunga game (Fabrice & Mzamiru Out then Kagoma na...
  9. Tetesi za Usajiri Dirisha Dogo December 2024, Ligi Kuu Tanzania.

    Tetesi za Usajiri Dirisha Dogo December 2024, Ligi Kuu Tanzania.

    Klabu ya Wekundu wa Msimbazi Simba inafuatilia kwa karibu kiwango cha Allan Okello (24) mchezaji wa Klabu Vipers inayoshiriki Ligi kuu Nchini Uganda. Okello, ni miongoni mwa vijana waliojaliwa kipaji kwani huwa anaitwa na kianza kwenye kikosi cha kwanza cha Uganda Cranes licha ya Timu hiyo kuwa...
  10. MCHEZO UMEMALIZIKA: Stade D'Abidjan 1 vs 1 Orlando pirates

    MCHEZO UMEMALIZIKA: Stade D'Abidjan 1 vs 1 Orlando pirates

    Mchezo umetamatika Kwa suruhu ya Goli Moja kwa Moja. Hamna mbabe Kwa mwenzake, Orlando pirates wanakwenda kushika nafasi ya kwanza na points tano "5" michezo mitatu "3"wakifatiwa na Al Ahly (Misri) mwenye alama nne "4" na michezo miwili "2" huku Stade D'Abidjan akiburuza mkia na alama Moja "1"...
  11. Nafasi za Kazi Binti Africa Group November 2024

    Nafasi za Kazi Binti Africa Group November 2024

    Hili hapa tangazo la Nafasi za Kazi Binti Africa Group November 2024 lililo tangazwa siku ya leo kwa watanzania wote wenye nia, ari na sifa waweze kutuma maombi mpaka tarehe 10 Desemba 2024. Kama unataka kusaidiwa kutuma maombi ajira zozote au kuuliza swali jisajili hapa kisha uliza swali lako
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom