yanga fc

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. Mudathir Yahya Ni Mali Pale Yanga SC

    Mudathir Yahya Ni Mali Pale Yanga SC

    Yani kila ukimuangalia Mudathir Yahya unapata picha ya namna Kiungo Chuma anatakiwa kuwa, nazani ndio kiungo bora zaidi wa kati anaweza kuzuia njia za mipira ‘Ball paths’ kwa usahihi sana kutoka kwa mpinzani / actions. Ongeza hapo always available uwanjani dah💪🏿 hata Kocha Sead Ramovic anaona...
  2. Jonathan Ikangalombo Ni Mali Ya Yanga Sc

    Jonathan Ikangalombo Ni Mali Ya Yanga Sc

    Klabu ya Young Africans imekamilisha usajili wa Winga Jonathan IkangaLombo 🇨🇩 akitokea AS Vita Club katika dirisha hili dogo la uhamisho Jonathan IkangaLombo amesaini mkataba wa miaka miwili hii leo na muda wowote kuanzia hivi sasa atapewa vifaa vya mazoezi katika klabu hiyo. Ikangalombo...
  3. Msimamo Wa Yanga Kwenye Makundi Ya CAFCL Na Nafasi Ya Kufuzu Hatua Ya Robo Fainali

    Msimamo Wa Yanga Kwenye Makundi Ya CAFCL Na Nafasi Ya Kufuzu Hatua Ya Robo Fainali

    Kwenye michuano ya CAF Interclub hatua ya makundi Yanga wanaburuza mkia wakiwa na alama moja tu kwenye msimamo wa kundi A huku kinara Al Hilal akiwa na alama zake 9. Wana nafasi ya kuongoza kundi...? Hapa kimahesabu uwezo wa kuongoza Kundi kwa Yanga haupo tena Kivipi...? Yanga wamebaki na...
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom