Jonathan Ikangalombo Ni Mali Ya Yanga Sc

Jonathan Ikangalombo Ni Mali Ya Yanga Sc

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Klabu ya Young Africans imekamilisha usajili wa Winga Jonathan IkangaLombo 🇨🇩 akitokea AS Vita Club katika dirisha hili dogo la uhamisho
FB_IMG_1736072332975.webp


Jonathan IkangaLombo amesaini mkataba wa miaka miwili hii leo na muda wowote kuanzia hivi sasa atapewa vifaa vya mazoezi katika klabu hiyo.

Ikangalombo atakwenda kuchukua nafasi ya Jean Baleke ambae kashindwa kutamba kakika Kikosi hicho Cha Kariakoo Young African.
 
Similar content Most view View more
Back
Top Bottom