Pacôme Zouzoua amehusika moja kwa moja katika mabao sita kwenye mechi zake tano za mwisho katika NBC Premier League.
Vs. Namungo - ⚽
Vs. Mashujaa - 🅰️
Vs. Tanzania Prisons - 🅰️
Vs. Dodoma Jiji - 🅰️
Vs. Fountain Gate - ⚽⚽
Ndiye mchezaji wa tatu wa Young Africans kufunga mabao 5+ katika NBC...