yanga

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. TAARIFA: YANGA SC Yatangaza Kuachana na Kocha Mkuu Angel Miguel Gamondi na Kocha Msaidizi Moussa..

    TAARIFA: YANGA SC Yatangaza Kuachana na Kocha Mkuu Angel Miguel Gamondi na Kocha Msaidizi Moussa..

    Uongozi wa Young Africans Sports Club (Yanga) umetangaza rasmi kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa timu ya kwanza, Angel Miguel Gamondi, pamoja na Kocha Msaidizi, Moussa Ndaw. Taarifa hii imetolewa leo, tarehe 14 Novemba 2024. Kupitia taarifa yao, Yanga imewashukuru makocha hao kwa mchango wao...
  2. TETESI: Kocha Mpya Yanga SC 2024/2025 | kusonga Mbele na Kocha Mpya: Kheireddine Madoui Akiwa na Rekodi Imara

    TETESI: Kocha Mpya Yanga SC 2024/2025 | kusonga Mbele na Kocha Mpya: Kheireddine Madoui Akiwa na Rekodi Imara

    Yanga imeonyesha kuwa haina mchezo inapokuja suala la mafanikio, kwani klabu hiyo imefanya maamuzi makubwa ya kumtenga aliyekuwa kocha wao, Miguel Gamondi, na kuanza rasmi mchakato wa kumnasa kocha wa Algeria, Kheireddine Madoui, anayefanya kazi na CS Constantine. Madoui anajulikana kwa...
  3. Christina Mwagala wa Tabora United Awachimba Yanga SC: "Wakiona Hawawezi, Waombe Mechi Irudiwe!"

    Christina Mwagala wa Tabora United Awachimba Yanga SC: "Wakiona Hawawezi, Waombe Mechi Irudiwe!"

    Christina Mwagala, Afisa Habari wa klabu ya Tabora United, ameonesha msimamo mkali dhidi ya Yanga SC baada ya mechi iliyochezwa jana. Katika mazungumzo yake na wanahabari, Christina alionyesha kutokujali kuhusu malalamiko ya Yanga SC akisema kuwa, kama wanaona hawakuridhishwa na matokeo, wana...
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom