ZanAjira; Nafasi za kazi 461 Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi kwa ajili ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali December 2024 kama ifuatavyo:
Ajira zilizo tangazwa
1. Mwalimu wa ‘Mathematics’ Daraja la III (ZPSE - 08) Nafasi 66 Unguja na Nafasi 46 Pemba
2. Mwalimu wa...
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi ya kazi kwa ajili ya Afisa Habari Daraja la II - ZPSE-10 (Nafasi 1 - Unguja) katika Ofisi ya Rais - Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora kuweza kujaza Ajira Mpya zilizo wazi kupitia ZanAjira.
Jinsi ya Kuomba
Njia ya Maombi: Maombi yote...