Ahmed Ally Wa Simba Leo Afikisha Miaka Mitatu Ndani Ya Simba Sports Club.

Ahmed Ally Wa Simba Leo Afikisha Miaka Mitatu Ndani Ya Simba Sports Club.

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Januari 3 2025 CEO wa Simba SC wakati huo, Madam Babra Gonzalez alimuajiri Ahmed Ally kama Meneja wa habari na mawasiliano wa Klabu

Leo ni miaka mitatu Ahmed Ally amekua kipenzi cha Wanachama na mashabiki wa Simba Sports Club

Hongera Babra kwa zawadi hii Kwa wanalunyasi Simba sports club.
FB_IMG_1735911961352.webp
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom