Ajira 76: Nafasi za Kazi Ajira Portal na Utumishi Februari

Ajira 76: Nafasi za Kazi Ajira Portal na Utumishi Februari Ajira Mpya 2025

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Ajira 76: Nafasi za Kazi Ajira Portal na Utumishi Februari 2025 Kwa niaba ya Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI), Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), Taasisi ya Taifa ya Sukari (NSI), Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) na Kampuni ya Mzinga, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inakaribisha Watanzania wenye sifa na ari ya kazi kujaza nafasi 76 za ajira zilizopo wazi.
Ajira 76: Nafasi za Kazi Ajira Portal na Utumishi Februari

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA (08-02-2025)
 
Similar content Most view View more
Back
Top Bottom