Huu hapa Mfumo wa Maombi ya Ajira PCCB Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba kuajiriwa nafasi za kazi katika ofisi za TAKUKURU Wilaya kama inavyoonekana hapo chini.
Maombi yote yatumwe kupitia mfumo wa kielekitroniki wa ajira wa TAKUKURU ambao anuani yake ni: ajira.pccb.go.tz na si vinginevyo. Maombi yatakayowasilishwa kwa njia ya posta au kwa mkono hayatapokelewa.
Ingia kwenye mfumo wa Takukuru au PCCB portal hapa
ajira.pccb.go.tz
Maombi yote yatumwe kupitia mfumo wa kielekitroniki wa ajira wa TAKUKURU ambao anuani yake ni: ajira.pccb.go.tz na si vinginevyo. Maombi yatakayowasilishwa kwa njia ya posta au kwa mkono hayatapokelewa.
Ingia kwenye mfumo wa Takukuru au PCCB portal hapa
Ajira:: Nafasi za Kazi TAKUKURU PCCB Februari 2025
Ajira Mpya 2026
Ajira:: Mfumo wa Kutuma maombi ya Ajira TAKUKURU PCCB Aprili 2026
Takukuru Ajira Porta